Jamani nina plot nauza ipo Nyamhongoro Block B, ina ukubwa wa sq m 640 (21mx30m) ina bomba la maji na nguzo ya umeme, ina vyumba 4 , library,dining, stoo , sebule na kitchen. Nyumba iko kwenye...
Nyumba kubwa inauzwa. Ipo Mtoni kwa Aziz Ali, Dar es Salaam, karibu sana na Kilwa Road. Ina vyumba vya kulala 3 (kimoja master), sebule kubwa, jiko na stoo. Pia kuna banda la uani – vyumba 5...
pata Laptop mpya kabisa! Kuna Getway core 2 duo, hard disk 500gb, ram 4gb bei laki 8 na nusu. Hp dv6 core i3, hard disk 500gb, ram 4gb, 3.0ghz bei laki 9. Kuna hp dv6 amdquadro hard disk 720 gb...
Wadau naomba msaada wenu, mimi kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi niliacha sasa ni mwezi mmoja. japo nimepata kazi ya kujishikiza, nina shida sana ya kuchungua MICHANGO ya NSSF ambayo nimechangia...
Mimini Graphic Designer nina uzoefu wa miaka 2.5, nimefuzu kozi za: Photoshop, Illustrator,
Quarke Express, ColarDraW na Pagemaker contact with my email: digitalsimage@yahoo.com
Wadau natafuta Tractor aina ya Marsey Furgeson ya Horse Power80 iwe brand New.
Nikipata bei pamoja na Jembe lake nitashukuru sana kwa wale wa UINGEREZA wanaweza nipa Bei hadi kufika hapa TZ au ya...
Tsup guys..... Nauza iphone 3gs 16 gb ipo katika good condition kabisa. Lots of apps and games. The phone is jailbroken and you got a chance to download any app you want.... Some of the apps...
Mimi nifundi alminium,natengeneza, madirisha, milango, pamoja na ainayote ya display showcas za madukani, na mahotelini.pia nina funga wollshelf za aina yote, kwenye salon za kike nazakiume. Nipo...
HAYA TENA WANA JF KUNA NYUMBA INAUZWA SINZA KARIBU NA LION HOTEL IMEPAKANA NA BARABARA YA KWENDA KWA MWAIBULA. NI MAKAZI YA MTU, NA INA ENEO KUBWA PAMOJA NA MABANDA YA UWANI. INAFAA KWA LODGE AU...
jamani natafuta vile vipikipiki vidogo a.k.a scooter coz trafic jam zimenichosha.,
mwenyekujua wanapo viuza na range ya bei zak naomba anijuze.,
thnks wakuu
Wakuu kama unafaham mtu yeyote anapangisha nyumba hapa jijini Dar es Salaam
naomba nipatie contacts.. nyumba inahitajika kwa ajili ya kupangisha..iwe ni kati ya Tsh150,000/- na Tsh 250,000/-...
It is situated at Mbezi Beach in Kinondoni Municipality not very far under construction the new Bagamoyo Road. The House has 4 big bedroom, the far most big one is the master suite with which has...