Pikipiki inahitajika

Pikipiki inahitajika

Mamndenyi

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
44,626
Reaction score
64,521
kwa yeyote mwenye pikipiki ambayo iko kwenye hali nzuri
kwa ajili ya biashara naomba contact.
 
kwa yeyote mwenye pikipiki ambayo iko kwenye hali nzuri
kwa ajili ya biashara naomba contact.
Mie nafikiri kama ni hizi pikipiki za mchina hauna haja ya kununua used....coz hapo kariakoo zimejaa kibao and so cheap
So ni bora ukajinunulia mpya tu
 
Asanteni kwa ushauri wenu Wakuu wangu
 
ipo lifan cc125 bei shilingi 1milioni haipunguiipo kwenye hali nzuri sana.
 
Ipo sanlag imeua nimeamua kuiza imetumika miezi 6 nipigie nikupe 0754827198
 
mkuu usinunue used.nenda dukani kanunue mpya sanLG au FEKON.hizo nyingine michosho kwa biasha.FEKON utapata kwa 1.5ml sanLG kuanzia 1.7ml.vinginevyo itakula kwako.mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom