Mwenda_Pole
JF-Expert Member
- Jul 5, 2008
- 281
- 67
Wakuu kama unafaham mtu yeyote anapangisha nyumba hapa jijini Dar es Salaam
naomba nipatie contacts.. nyumba inahitajika kwa ajili ya kupangisha..iwe ni kati ya Tsh150,000/- na Tsh 250,000/-
Natanguliza shukrani..
naomba nipatie contacts.. nyumba inahitajika kwa ajili ya kupangisha..iwe ni kati ya Tsh150,000/- na Tsh 250,000/-
Natanguliza shukrani..