Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Wakuu nimeweka mahesabu lakini hayaingii kichwani!
haya naombeni saada sasa!
Eka moja = sqm??
na kama ni mraba Upana?? * Urefu??
upimbi wangu unaniambia kuwa eka moja ina sqm 4000, this will give me 100*40=4000 at the same time nimesikia mtu anasema eka moja ni kama ifuatavyo miguu mia upana * miguu mia urefu :faint: lakini nikipiga ile kitu ya kubofya inanionyesha 100*100= 10,000 Correct but je is it true that eka moja = 10,000sqm?!?! nisome vizuri eka sio Hectar!!
Naomba kujuzwa eka ikiwa na vipimo vya mraba upana ngapi urefu ngapi?? is it 4000sqm=eka as i always thought or 10,000sqm that i never knew!!
Nb: Kitope+Mathematics= Disaster.. so take it easy on me!
haya naombeni saada sasa!
Eka moja = sqm??
na kama ni mraba Upana?? * Urefu??
upimbi wangu unaniambia kuwa eka moja ina sqm 4000, this will give me 100*40=4000 at the same time nimesikia mtu anasema eka moja ni kama ifuatavyo miguu mia upana * miguu mia urefu :faint: lakini nikipiga ile kitu ya kubofya inanionyesha 100*100= 10,000 Correct but je is it true that eka moja = 10,000sqm?!?! nisome vizuri eka sio Hectar!!
Naomba kujuzwa eka ikiwa na vipimo vya mraba upana ngapi urefu ngapi?? is it 4000sqm=eka as i always thought or 10,000sqm that i never knew!!
Nb: Kitope+Mathematics= Disaster.. so take it easy on me!