Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jamani mwenye uhitaji wa hii kitu,ipo nimeitumia since July mwaka huu. Bei 800,000 tsh. maelewano yapo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uwanja unauzwa Madale kwa Karibu na kwa Kandolo. Hatua 70 X 70. Hauna Hati, ila serikali ya mtaa ni mashahidi. Kwa mawasiliano piga 0763 894508.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji kwa haraka sana ipad 2 64GB Used. Bei isiwe ya dukani sana.Tafadhali weka contact zako nikupigie nipo Dar.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyumba ya kisasa inauzwa. Eneo la kiwanja ni ekari moja. Ina fence vyumba vinne na nyumba ya uwani vyumba viwili jiko , sebule na choo(unfinished) Main house Ina sqm 320. Wasiliana na 0754310086...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Wadau naombeni mnifahamishe bei ya kuagiza Suzuki curry. Natamani sana kumiliki hili gari ili inisaidie katika projects zangu ndogondogo za ufugaji wa kuku. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
6K Views
  • Poll Poll
Siku kadhaa niliona hii kitu nasikia ndio wanaotoa bei ya chini ukilinganisha na makampuni mengine, nimejaribu na kuona kweli bei zao poa hasa kupiga simu kwenda Tanzania ni bei poa sana na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mambo mazito leo yamenitokea hapa mlimani city,nilitangaza hapa jamvini kwamba nauza laptop,kuna jamaa mmoja akaniambia kwamba yeye anaitaka.baada ya mawasiliano ya takriban siku 2,leo akanambia...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
  • Poll Poll
University of Dar Es Salaam College of Engineering and Technology BUREAU FOR INDUSTRIAL COOPERATION (BICO) TRAINING COURSE ON DATA ANALYSIS BY USING SPSS/PASW SOFTWARE Introduction The...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iwe maeneo ya Mbezi Beach. Iwe imekamilika. Bajeti 200mil.Iwe na Hati miliki. 0717114409
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapendwa nimepoteza contact na jamaa yangu ambaye pia ni member humu JF anaitwa drphone kwa sasa mimi niko ughaibuni mwenye contact naye ani-PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nyumba hizi ziko mbili katika kiwanja kimoja. barabara ipo, ziko katika mtaa ulio pangwa vizuri,na serikali. hati ipo, maji na umeme vipo. mawasiliano: 0719646407
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta Laptop screen 17" diagonal widescreen Trubrite LCD 1440 X 900 resolution (WXGA) New or used, yeyote mwenye information ani PM please
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Bajaj inatembea na iko katika hali nzuri,inapatikanika dsm for sale..alie serious tupia msg inbox
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu heshima zenu,nataka kufungua duka la ujenzi hivi karibuni,nilikua nataka hizo mbao tajwa hapo juu kwa jumla,kwa yeyote anayefanya hii business ani pm tufanye business!dalal hatakiw manake...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Ngoma iko poa xana,Fanya Kuidownload na Kuisikiliza kupitia radio station Pamoja na blog tofauti.Cheki pia kupitia blog ya dj Choka na Google.Nawapenda xana bandugu.Nicheki kwa fb Kwa username ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari Wadau! Jamani kwa anayefahamu ubora na mapungufu ya hilo gari anijuze Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, naombeni msaaada wenu wa mkopo wa Tshs Mil 4, ambapo kila mwezi nitalipa riba na kurudisha mkopo baada ya miezi minne. malipo ya riba kila mwisho wa mwezi. nina shida sana na kiasi hicho...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja hiki kinaukubwa wa hatua 70 kwa 35: kipo ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam. mawasiliano 0719646407
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama unahitaji gauni la harusi kukodi, ni-PM bei 100,000
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kama kuna mtu yoyote ambae anajuwa naweza kupata wapi cabini ya isuzu foward iliyo nzuri nahitaji naomba tuwasiliane no. 0712976729
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…