Nyumba ya kisasa inauzwa. Eneo la kiwanja ni ekari moja. Ina fence vyumba vinne na nyumba ya uwani vyumba viwili jiko , sebule na choo(unfinished)
Main house Ina sqm 320. Wasiliana na 0754310086...
Wadau naombeni mnifahamishe bei ya kuagiza Suzuki curry. Natamani sana kumiliki hili gari ili inisaidie katika projects zangu ndogondogo za ufugaji wa kuku.
Asanteni
Siku kadhaa niliona hii kitu nasikia ndio wanaotoa bei ya chini ukilinganisha na makampuni mengine, nimejaribu na kuona kweli bei zao poa hasa kupiga simu kwenda Tanzania ni bei poa sana na...
Mambo mazito leo yamenitokea hapa mlimani city,nilitangaza hapa jamvini kwamba nauza laptop,kuna jamaa mmoja akaniambia kwamba yeye anaitaka.baada ya mawasiliano ya takriban siku 2,leo akanambia...
University of Dar Es Salaam
College of Engineering and Technology
BUREAU FOR INDUSTRIAL COOPERATION (BICO)
TRAINING COURSE ON DATA
ANALYSIS BY USING SPSS/PASW SOFTWARE
Introduction
The...
nyumba hizi ziko mbili katika kiwanja kimoja. barabara ipo, ziko katika mtaa ulio pangwa vizuri,na serikali. hati ipo, maji na umeme vipo. mawasiliano: 0719646407
Wakuu heshima zenu,nataka kufungua duka la ujenzi hivi karibuni,nilikua nataka hizo mbao tajwa hapo juu kwa jumla,kwa yeyote anayefanya hii business ani pm tufanye business!dalal hatakiw manake...
Ngoma iko poa xana,Fanya Kuidownload na Kuisikiliza kupitia radio station Pamoja na blog tofauti.Cheki pia kupitia blog ya dj Choka na Google.Nawapenda xana bandugu.Nicheki kwa fb Kwa username ya...
Wana JF, naombeni msaaada wenu wa mkopo wa Tshs Mil 4, ambapo kila mwezi nitalipa riba na kurudisha mkopo baada ya miezi minne. malipo ya riba kila mwisho wa mwezi. nina shida sana na kiasi hicho...