D dotto JF-Expert Member Sep 29, 2010 1,725 255 Jan 9, 2012 #1 WanaJF nina asali ya kutosha na iko sokoni. Natafuta soko la jumla kama Lita 400. Pls.
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,514 11,277 Jan 9, 2012 #2 Unauza bei gani mkuu? Je imekaguliwa na kuidhinishwa kwa matumizi na mamlaka husika?
M Malila JF-Expert Member Dec 22, 2007 5,149 4,675 Jan 9, 2012 #3 dotto said: WanaJF nina asali ya kutosha na iko sokoni. Natafuta soko la jumla kama Lita 400. Pls. Click to expand... Ukiweza mtafute Kasopa kwa PM, anaweza kukusaidia.
dotto said: WanaJF nina asali ya kutosha na iko sokoni. Natafuta soko la jumla kama Lita 400. Pls. Click to expand... Ukiweza mtafute Kasopa kwa PM, anaweza kukusaidia.
T tizo1 JF-Expert Member Mar 9, 2011 856 145 Jan 10, 2012 #6 Weka sifa ya asali kama mbich au imepikwa.nyuki wadogo au wa kubwa.pia bei kwa lita sh. ngapi?
D dotto JF-Expert Member Sep 29, 2010 1,725 255 Jan 11, 2012 Thread starter #7 tizo1 said: Weka sifa ya asali kama mbich au imepikwa.nyuki wadogo au wa kubwa.pia bei kwa lita sh. ngapi? Click to expand... Ni ya nyuki wakubwa, mbichi, humidy ni 17.8% to 18% na bei tunaelewana.
tizo1 said: Weka sifa ya asali kama mbich au imepikwa.nyuki wadogo au wa kubwa.pia bei kwa lita sh. ngapi? Click to expand... Ni ya nyuki wakubwa, mbichi, humidy ni 17.8% to 18% na bei tunaelewana.