rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Heri ya mwaka mpya.
Wakuu naomba msaada nahitaji USED laptop ikiwezekana hata mpya lakini uwezo wangu ni around laki nne za kitanzania i.e TZS 400,000 specs min Intel dual core 2.0GHz/HDD 150GB/RAM 2GB/Screen 14"/.
Software sio shida nitapata uswahili.
Natanguliza shukurani nikiwa nimepiga magoti.
Asanteni.
Rakey.
Wakuu naomba msaada nahitaji USED laptop ikiwezekana hata mpya lakini uwezo wangu ni around laki nne za kitanzania i.e TZS 400,000 specs min Intel dual core 2.0GHz/HDD 150GB/RAM 2GB/Screen 14"/.
Software sio shida nitapata uswahili.
Natanguliza shukurani nikiwa nimepiga magoti.
Asanteni.
Rakey.