B Kubwa Production ina penda kuwatangazia kwamba inatafuta mabinti ambao watashiriki katika kushoot video mpya ya mziki ambayo inatarajiwa kutengenezwa hivi karibuni.
contact :0718888840
Seven Estate Agents inatangaza nafasi ya kazi, ofisi meneja.
Sifa za mwombaji.
1.Awe na uwezo wa kuandika na kuongea lugha ya kiswahili na kiingereza kwa ufasaha.
2.Awe anajua kutumia...
naitaji gari aina ya Toyota GR-Mark II kwa shughuli zangu za kawaida, yeyote mwenye nayo na yuko tayari kuuza ani PM niko tayari kuinunua kwa bei isiyo zidi Tsh. milioni 3 ikawa ina hali...
A very nice plot for sale at Kariakoo, The location is good for both Commercial building and Residential with Square meter 3400-312 along Swahili and Omari Londa Street (Form
erly Somalia)...
Wakuu mwenye cd au dvd mahsusi kwa kufundishia geomorphology ambazo zina animation anicall ili tufanye biashara. lakn pia kama una za geography out of geomorphology tujuzane wakuu. nigongee hapa...
Habari za wakati wadau.nauza samsung b5702 kwa shilingi laki 110000.nimetumia muda mfupi.inatumia lain 2.ni original.ina 1gb memory card.betry na chaja vipo safi.ukiipenda ni pm au andika hapa...
Nina nokia orijino 5130 expres music ina miez mitatu,vilevile nina sumsung rokea 5570 imedizainiwa china ila ina program zote za orijino ina internal memory 65mb,ina download application na...
Habari wanajamvi, natumai wote wazima. Naomba kama mtu ana fahamu namna ntakavyoweza kupata visa ya Indonesia, nimejaribu kucheki kwenye mtandao wanasema hawana embassy in Tanzania, so nitafute...
Nauza shirt la ukweri sana,lipo kwenye hali nzuri sana..lina rangi ya pink,nyekundu kidogo kwenye ukosi na mikono ina rangi ya blue..
Nililinunua sikukuu ya xmas 2011,kwa sasa linanibana ndio...
Wadau,
Nahitaji kufanyia Services Gari aina ya Ford Galaxy,
Tatizo ni kua nimekua nikitumia mafundi wa mtaani ambao naona kama wananiharibia tu gari.
Please nisaidieni kama mnawafahamu...