hii ni mini-digital camera nimeifungua kwenye vifaa vya mtumba,software zake na datails zake zinapatikana online,ni nzuri kui2mia kama webcam kwa ajiri ya skyper,spy cam n.k.inapiga kazi vizuri...
Kipo eneo la Mbezi Beach Makonde upande wa kushoto ukitokea Mwenge kuelekea Tegeta. Kina ukubwa wa mita za mraba 1000. Hakina Hati Miliki.Jirani kapima na Hati Miliki. Bei 40mil. Kwa mawasilianao...
Wadau mm ninauza machungwa kwa jumla,
npo Tanga
kwa hyo yeyote atakaye penda tufanye biashara itakuwa vyema
iwe ndani au nje ya nchi
kima cha chini chungwa 50000
Heshima wakuu, nimechoka kutumia simu za aina ya nokia na nahitaji aina ya erricsson. Wapi kwa hapa Dar nitapata simu za aina hiyo na toleo lipi ni zuri zaidi?
mchuma huo unauzwa shs M6 tu anaondoka na mchuma, ni manual t, gia tano, ina dif, cc 1400, mwaka 1992, iko katika hali nzuri unajaza mafuta unasepa. Lete mapesa
Kimepimwa kina Hati Miliki, kipo katika maeneo yaliyopimwa na yaliyopangiluwa vizuri. Kina ukubwa wa mita za mraba 1735. Kipo upande wa kushoto ukiwa unaelekea Bagamoyo, umbali wa kilomita...
Kerege ipo mbele ya Bunju na Mapinga . Shamba limegawanywa vipande, pametengenezwa barabara za mitaa. Kila kipande cha mita 20 x 20 kinauzwa kwa shilingi 2.5mil. Eneo hilo limetengwa kwa ajili...
Ni 2gb ram, 320gb hd, 1.66Ghz, built in webcam, wlan, bluetooth, wi-fi and window 7 starter pack nipigie kwa 0713079282 ... Nime2mia week na inakaa na charge masaa 6 kamili.
wana JF na ma GT nina mashamba yanauzwa maeneo ya kigamboni moja la heka 1 lipo kati ya kibada na kisalawe(haufiki kisalawe lipo karibu na kibada) na la pili heka 3 lipo kata ya toangoma. Yote...
Ndugu zangu naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia natafuta online furniture store in Dar es salaam. naomba kama una link nipatie, nimesearch google lakini sikupata website ambayo inatumika zote...
Wadau nina best yangu ambaye nataka nimsaidie gharama za kurekodi. Naomba anayejua gharama za studio kama Master Jay, Bongo records, Dhahabu records, lamaa, pancho na wengine wanaofanya kazi...
Habari wa kuu
nataka kuwaeleza wanaJF kuhusu huduma tunazozitoa.
Business Cards
Fliers
Brochures
wheelcovers
Delivery note
invoice book
receipt book.
na mengine mengi
tunatengeneza...
Wana jf nauza laptop Dell latitude
1.Touch screen
2. Rotating screen
3. Ram 2GB
4. Processor 2.4 Ghz core to duo.
5. Hard drive 150GB.
6. Three USB port one SATA.
7...
Mambo vp wadau,
Natafuta Macbook ya kawaida sio Macbook Pro wala Macbook Air, just a normal Macbook kwa reasonable price. Fanya kuni-PM kama una hiyo kitu.
visit View Tz - see employment opportunities, tenders- advertisement ,sport news and many more interesting features. join our forum and chat with friends.II