Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,115
- 346
Kipo eneo la Mbezi Beach Makonde upande wa kushoto ukitokea Mwenge kuelekea Tegeta. Kina ukubwa wa mita za mraba 1000. Hakina Hati Miliki.Jirani kapima na Hati Miliki. Bei 40mil. Kwa mawasilianao zaidi piga simu 0717114409