Heshima wakuu, nimechoka kutumia simu za aina ya nokia na nahitaji aina ya erricsson. Wapi kwa hapa Dar nitapata simu za aina hiyo na toleo lipi ni zuri zaidi?
Kuhusu toleo inabidi useme interest yako iko wapi.
Kama unataka simu ambayo itakuwezesha kusurf vizuri. . .kupiga picha nzuri. . kuwa na nafasi ya kutosha kuhifadhi music audio na video au hata movie mbili tatu za kuangalia ukiwa safarini and good games go for Sony Ericsson Xperia Arc S nadhani ndio latest kwa upande wa SE.. . . niliiona imetula kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.