King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
wana JF na ma GT nina mashamba yanauzwa maeneo ya kigamboni moja la heka 1 lipo kati ya kibada na kisalawe(haufiki kisalawe lipo karibu na kibada) na la pili heka 3 lipo kata ya toangoma. Yote hayo hayajapitiwa na mradi wa Bush.
Bei heka 1 ya kibada ni mil 13 na heka 3 za toangoma ni 48mil.
Bei heka 1 ya kibada ni mil 13 na heka 3 za toangoma ni 48mil.