Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu nauza blackberry bold 9700 kwa 450000/= tu unaweza ni pm au call 0654000253 .
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau natangaza tenda hyo naomba mwenye kuweza kuuza digital camera kwa bei tajwa hapo juu, aweke specification za hiyo camera na kwa nitakayo futiwa nayo tuta'make deal.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu natafuta battery ya dell D610,anaejua inapatikana wapi,na bei ani pm,au call 0654000253,thanks in advance.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mwenye laptop used lakini ipo mzuka nina kilo3-4
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiko jirani na kwa Makamba njia panda ya Wazo hill..hakijapimwa...but kiko documented vizuri...robo eka....bei ni 20 million pungufu unaongea...kwa mawasiliano zaidi piga 0715314911.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Vifaranga chotara wenye kuvumilia magonjwa nawenye kutaga mpk mayai 45 kabla ya kutamia pia kukuwangu niwakubwa sana 0757-662401 -karibu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hi, Kuna Mdau yeyote amewahi kununua gari kwenye hawa jamaa wanaojiita magari Japan? They are listed in Trade car View. Nimefanya enquiry nikapigiwa simu within one Minute and I became...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
htc desire inahtajka fasta, eote anaeuza plz PM me tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Blackberry stome one inauzwa kwabei poawa ipo moja tu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Samsung Galaxy SII 16GB Storage Android 2.3.3 Will include 4GB microSD card and leather carrying case Still under warranty and in immaculate condition. TShs.800,000.00 Call 0763 733056
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji powered subwoofer (active sub) ya mtumba iwe na kuanzia 250watts RMS isiwe mchina. Iwe na inbuilt amplifier, sio inayotegemea amplifier ya dvd deck kama zilivyo home theaters, inaweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, nanunua iphone 3GS kwa laki 3 tu. Kama unayo nicheki kwa 0655003510.
0 Reactions
0 Replies
871 Views
new blackberry torch inauzwa bei ni laki 7.wasiliana na namba hii kama unahitaji. 0788562143 asante.
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Wakuuu nahitaji laptop Dell/HP , any processor zaidi ya i3, screen 14" au zaidi, mengine yote standard. ni PM au rakeyescarl@yahoo.ie
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wandugu wa Jf Nina hitaji used laptop kwa ajili ya matumizi ya nyumbani iwe angalau pentium iv na kuendelea HD iwe japo 90GB RAM angalau 1GB NA KUENDELEA: MENGINEYO:- iwe katika hali nzuri...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Blackberry torch inauzwa kwa laki 6 Ni used kwa mwezi mmoja Kama wahitaji ni PM
0 Reactions
0 Replies
847 Views
htc g1 usd in gud condtion...260, pm for biznes if u r serious
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta stationary au mahali wanapotengeneza receipt book ambazo hazihitaji kutumia carbon paper yaani zile kama wanazotumia kwenye bank.Yaani zile ambazo ukiandika maandishi yanatokeza directly...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninahitaji vitabu vinavyo husu saikolojia vyenye lugha ya kiswahli na kingereza kama unavyo basi unaweza kunijulisha na bei zake.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna mtu yeyote humu jamvini, anayemfahamu MARCEALE MTEFUNYA, nitashukuru kunipatia contacts zake kwenye PM, au mtu yeyote aliyesoma URU SEMINARY mwenye contact zake plz nipatieni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…