wadau natangaza tenda hyo naomba mwenye kuweza kuuza digital camera kwa bei tajwa hapo juu, aweke specification za hiyo camera na kwa nitakayo futiwa nayo tuta'make deal.
Kiko jirani na kwa Makamba njia panda ya Wazo hill..hakijapimwa...but kiko documented vizuri...robo eka....bei ni 20 million pungufu unaongea...kwa mawasiliano zaidi piga 0715314911.
Hi,
Kuna Mdau yeyote amewahi kununua gari kwenye hawa jamaa wanaojiita magari Japan? They are listed in Trade car View.
Nimefanya enquiry nikapigiwa simu within one Minute and I became...
Samsung Galaxy SII
16GB Storage
Android 2.3.3
Will include 4GB microSD card and leather carrying case
Still under warranty and in immaculate condition.
TShs.800,000.00
Call 0763 733056
Nahitaji powered subwoofer (active sub) ya mtumba iwe na kuanzia 250watts RMS isiwe mchina. Iwe na inbuilt amplifier, sio inayotegemea amplifier ya dvd deck kama zilivyo home theaters, inaweza...
Habari wandugu wa Jf
Nina hitaji used laptop kwa ajili ya matumizi ya nyumbani iwe angalau pentium iv na kuendelea HD iwe japo 90GB
RAM angalau 1GB NA KUENDELEA: MENGINEYO:- iwe katika hali nzuri...
Natafuta stationary au mahali wanapotengeneza receipt book ambazo hazihitaji kutumia carbon paper yaani zile kama wanazotumia kwenye bank.Yaani zile ambazo ukiandika maandishi yanatokeza directly...
Kama kuna mtu yeyote humu jamvini, anayemfahamu MARCEALE MTEFUNYA, nitashukuru kunipatia contacts zake kwenye PM, au mtu yeyote aliyesoma URU SEMINARY mwenye contact zake plz nipatieni...