Nahitaji toyota cami haraka

Nahitaji toyota cami haraka

Bob Nash

Member
Joined
Aug 21, 2009
Posts
64
Reaction score
0
wakuu, nimepata vi-diem vya christmas milioni saba, nahitaji toyota cami kwa yeyote anayeuza, iwe kwenye hali nzuri tuu, naihitaji haraka pesa isije ikapata mahitaji mengine, mwenye nayo anicheki , cash hapohapo nikipenda gari, mawasiliano ni 0654-633109
 
Dah, mkuu: m7 vi-diem vya christmas?!!!!!! mwaka mpya ci mara mbili ya hiyo!...na mimi natafuta ajira wakuu!
 
Ipo Toyota Chaser (GX 100) 4 cylinder mpyaaa kabisa Tsh. 8.5 mil maongezi yapo.
 
mi nauza cami lakini kwa 10.5m,its lady driven,imetumika miezi 8 tu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom