Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Acer Aspire laptop for sale. HDD 160GB, RAM 1GB and processor speed 1.67GHZ. For more information contact me at 0714862969 Changas Kambarage.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
God said "I was hungry, and you gave Me something to eat; I was thirsty, and you gave Me something to drink; I was a stranger, and you invited Me in;naked, and you clothed Me; I was sick...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau nina kiwanja kikubwa na nyumba yenye vyumba sita imejengwa kwa tofari na umeme hupo karibu lakini haijaezekwa. Sehemu ni nzuri na gari linafika kabisa.Mwenye kutaka na yuko tayari ani PM...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama unahijat ku DESIGN NYUMBA YAKO. I do INTERIOR DESIGNING, * 3d Image of your House * 2d + Floor Plan of your House * Realistic look of your future house. I am interior designer (not...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Natafuta hTC sensation iwe katika good condition and iwe na accessories zake zote,my number is 0713079282
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani nataka kununua gari Mark II 110, vipi bei zake jamani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HTC HD 7 used lakini kwenye kondishen nzuri. 600,000. Au exchange na BlackBerry 9780 na kuendelea.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
natafuta Tyre rod ya kushoto ya JD , nimeharibikiwa shambani tafadhali! Mods nisaidie nataka kuweka picha ya hiyo kitu hapa.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kwa anetaka uwakala wa airtel money piga hizi namba 0717474257 (usishangae namba ni ya tigo .mi nimeajiriwa .hvyo naendelea kutumia namba yangu ya tigo though workng 4 airtel) .kinacho...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzuri,kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam ukifika mbezi ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama unahijat ku DESIGN NYUMBA YAKO. I do INTERIOR DESIGNING, * 3d Image of your House * 2d + Floor Plan of your House * Realistic look of your future house. I am interior designer (not...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa,ipo mbezi luguluni ina vyumba 4, viwili master na viwili vina public toilet,sebule,jiko,stoo,dining na mazingira mazuri kwa nje (geti) bei ni tshs millioni 80 wahi mapema piga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HTC MYTOUCH mpya kabisa imetumika siku 1.rangi Nyekundu.kila kitu utapata hadi box..bei 350,00 maongezi yapo txt 0713 51 05 78
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Wakuu, HTC Chacha iko sokoni, nimeinunua mpya nimeitumia miezi 4 iko katika hali nzuri inafanya kazi kama kawaida. Bei ni Tsh. 550,000 Vifaa vyake vilivyokuja navyo ni 1. Charger 2. Get started...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba ushauri kwa wenye uelewa wa magari, kati ya toyota landcruiser prado na toyota harrier(4cylinder) zote za kati ya miaka 1998-2001, ipi ni bora kwa matumizi ya dar, angalau mara mbili kwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Viwanja viwili vilivyopo kibada, block 17 vinauzwa, ukubwa sqm 650 na 900. Bei 16mil na 22mil. mawasiliano ni darsuitors@yahoo.com
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Bb touch mpya kabisa full na kila kifaa chake bei 620,000 maongezi yapo...sms 0713 51 05 78
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rav 4 inauzwa sh. milioni sita (6) Rangi: green 3 doors Year: 1995 Iko katika hali nzuri. Ukitaka kuiona inapatikana maeneo ya posta mpya karibu na haidery Plaza. Simu no 0714600366 au 0756 825713
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa ndugu zangu wana jf wote kwa wenye nia ya kujenga, Pata viwanja vilivyo pimwa maeneo ya Mwanagati square meter 500 kwa tsh 14m,square meter 1500 tsh 25m kuna maji na umeme vipo viwanja 8 tu...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…