Kama unahijat ku DESIGN NYUMBA YAKO.
I do INTERIOR DESIGNING,
* 3d Image of your House
* 2d + Floor Plan of your House
* Realistic look of your future house.
I am interior designer (not...
Nyumba inauzwa,ipo mbezi luguluni ina vyumba 4, viwili master na viwili vina public toilet,sebule,jiko,stoo,dining na mazingira mazuri kwa nje (geti)
bei ni tshs millioni 80
wahi mapema
piga...
Wakuu,
HTC Chacha iko sokoni, nimeinunua mpya nimeitumia miezi 4 iko katika hali nzuri inafanya kazi kama kawaida.
Bei ni Tsh. 550,000
Vifaa vyake vilivyokuja navyo ni
1. Charger
2. Get started...
Naomba ushauri kwa wenye uelewa wa magari, kati ya toyota landcruiser prado na toyota harrier(4cylinder) zote za kati ya miaka 1998-2001, ipi ni bora kwa matumizi ya dar, angalau mara mbili kwa...
Rav 4 inauzwa sh. milioni sita (6)
Rangi: green
3 doors
Year: 1995
Iko katika hali nzuri.
Ukitaka kuiona inapatikana maeneo ya posta mpya karibu na haidery Plaza. Simu no 0714600366 au 0756 825713
Kwa ndugu zangu wana jf wote kwa wenye nia ya kujenga, Pata viwanja vilivyo pimwa maeneo ya Mwanagati square meter 500 kwa tsh 14m,square meter 1500 tsh 25m kuna maji na umeme vipo viwanja 8 tu...
Habari zenu wadau,kwa mtu yeyote anaehitaji kiwanja kinapatikana Tbt Segerea jirani kabisa na kuingia barabara kuu ya lami,sehemu ni nzuri na magari yanaingia na kutoka kirahisi kwenye uhitaji...
kINGSTON technology Data traveler.
quantity available : four
-huge space
-fast speed
-USB 2.0
-Five years garantie
PRICE: 300,000 tsh
contact Rumystyle 0713683422
Habari zenu wakuu,,,, natafuta mafuta aina ya gatsby moving rubber hair wax, wapi ntapata mana nimezunguka sana hamna na wengine ata hawajui nini afu wananionesha Gel, naomba mnisaidie location ya...
natafuta shamba, ukubwa ekari 1, maeneo ya kigamboni liwe linafikika kwa gari, pia bei iwe ya kawaida kwa mtanzania mwenye mshahara kima cha chini, sio ya mafisadi. Yaani bei yake isizidi milioni...
msaada kwa yeyote anaejuwa viwanja/kiwanja nnahitaji kununua jaman niondokane na adha ya kupanga,bei isizidi 2m mana kutokana na mshahara wangu naruhusiwa kukopa kiasi kidogo tu.maeneo ya ubungo...