Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama unahijat ku DESIGN NYUMBA YAKO. I do INTERIOR DESIGNING, * 3d Image of your House * 2d + Floor Plan of your House * Realistic look of your future house. I am interior designer (not...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa,ipo mbezi luguluni ina vyumba 4, viwili master na viwili vina public toilet,sebule,jiko,stoo,dining na mazingira mazuri kwa nje (geti) bei ni tshs millioni 80 wahi mapema piga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HTC MYTOUCH mpya kabisa imetumika siku 1.rangi Nyekundu.kila kitu utapata hadi box..bei 350,00 maongezi yapo txt 0713 51 05 78
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Wakuu, HTC Chacha iko sokoni, nimeinunua mpya nimeitumia miezi 4 iko katika hali nzuri inafanya kazi kama kawaida. Bei ni Tsh. 550,000 Vifaa vyake vilivyokuja navyo ni 1. Charger 2. Get started...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba ushauri kwa wenye uelewa wa magari, kati ya toyota landcruiser prado na toyota harrier(4cylinder) zote za kati ya miaka 1998-2001, ipi ni bora kwa matumizi ya dar, angalau mara mbili kwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Viwanja viwili vilivyopo kibada, block 17 vinauzwa, ukubwa sqm 650 na 900. Bei 16mil na 22mil. mawasiliano ni darsuitors@yahoo.com
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Bb touch mpya kabisa full na kila kifaa chake bei 620,000 maongezi yapo...sms 0713 51 05 78
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rav 4 inauzwa sh. milioni sita (6) Rangi: green 3 doors Year: 1995 Iko katika hali nzuri. Ukitaka kuiona inapatikana maeneo ya posta mpya karibu na haidery Plaza. Simu no 0714600366 au 0756 825713
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa ndugu zangu wana jf wote kwa wenye nia ya kujenga, Pata viwanja vilivyo pimwa maeneo ya Mwanagati square meter 500 kwa tsh 14m,square meter 1500 tsh 25m kuna maji na umeme vipo viwanja 8 tu...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Toyota starlet imetumika miezi 9, inauzwa, mill 7, kama uko interest nipm,
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji PS 2, iwe chiped na kwenye condition nzuri, nipo dar. 0786305664
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kINGSTON
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Habari zenu wadau,kwa mtu yeyote anaehitaji kiwanja kinapatikana Tbt Segerea jirani kabisa na kuingia barabara kuu ya lami,sehemu ni nzuri na magari yanaingia na kutoka kirahisi kwenye uhitaji...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nadhani taito inajieleza. Kama yupo humu tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kichwa cha habari hapo juu chahusika Please do the needful best Regards, mojoki
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kINGSTON technology Data traveler. quantity available : four -huge space -fast speed -USB 2.0 -Five years garantie PRICE: 300,000 tsh contact Rumystyle 0713683422
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,,,, natafuta mafuta aina ya gatsby moving rubber hair wax, wapi ntapata mana nimezunguka sana hamna na wengine ata hawajui nini afu wananionesha Gel, naomba mnisaidie location ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
natafuta shamba, ukubwa ekari 1, maeneo ya kigamboni liwe linafikika kwa gari, pia bei iwe ya kawaida kwa mtanzania mwenye mshahara kima cha chini, sio ya mafisadi. Yaani bei yake isizidi milioni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
viwanja kuanzia tsh 1.5 vinapatikana maeneo ya kivule,kibeberu umbali wa km 8 toka Banana.Pia vipo vya kupimwa tafadhari piga 0763 150 550 mr Frank
0 Reactions
0 Replies
2K Views
msaada kwa yeyote anaejuwa viwanja/kiwanja nnahitaji kununua jaman niondokane na adha ya kupanga,bei isizidi 2m mana kutokana na mshahara wangu naruhusiwa kukopa kiasi kidogo tu.maeneo ya ubungo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…