Ndugu wanajamii forums, najitolea kufanya kazi ya website designing... yeyote mwenye kazi ya kudesign website anaweza kunicheki kwa PM kisha nikasaidiana nae kufanya hiyo kazi bila malipo...
WE OFFER FINANCIAL AND BUSINESS SERVICES WHEREVER YOU , OUR PERSONELL WILL VISIT YOU.
eg preparation of busness plan/propasal, internal auditing, preparation of financial report, practical...
Natafuta ile mashine kubwa ya kuchomea kuku kwa kuzunguka, kama ile ya bonge wa pale kona Bar.
Nimejaribu kuulizia sehemu nyingi bila mafanikio. Mwenye kujua tafadhali anijuze.
Salamu kwenu wanajf,
Natafuta benki inayoweza kunikopesha mkopo, mimi ni mwajiriwa, mshahara wangu ni kati ya 1.5 m to 2m hiyo ni net. Gross ni kati ya 2m na 2.5m. Nimekuwa na akauti benki toka...
Zipo ndani ya fensi moja, nyumba moja ni kubwa na nyingine ni ndogo. Kuna eneo kubwa la kuweza kujenga nyumba nyingine. Ipo tabata mawenzi karibu na shule ya sekondari ya kamene. Bei ni milioni...
nauza mitsubishi, canter ya mwaka 1998; registration na. T 616 BTD; rangi ya blue, body ya aluminium kwa chini, juu imewekwa bomba na ina turubai. Ilinunuliwa U.K june 2011; ina km 90,000 mpaka...
Wana jamii tumeondokewa na mwanajamii mwenzetu jana kwa ajali mwanza. Juzi Alikuwa akiendesha gari galfa bastola aliyokuwa nayo kiunoni ikalipuka ikampiga tumboni .anafanyanya kazi T.r.a musoma...
habari wana jf kuna kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa nusu ekari kipo eneo la Igoma jijini Mwanza bei maelewano kwa ambaye atakuwa tayari awasiliane na mimi kupitia hizi namba:0764339400.changamkia...
--> SAMSUNG B7722 (...a phone no one knows about)- Original , sio KICHINA as have RECEIPT with GUARANTEE still VALID
It has features like a iPhone, (3g plus internet, Wifi, etc)
Social...
WAKUU WA JF,
NATAFUTA iPHONE AU BLACKBERRY (8900,9000,etc)
Or any other phone with OS (operating system ya BB au ANDROID au IPHONE)
My budget- 150,000/-Tshs
IF any major au minor problem...
Any one having bold 9700 or torch 9800 and wants to exchange to curve 8520 + money should let me know and the amount of money He/She wants,my no is 0759243224 just text me
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.