Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Dear Customer: To enhance security at your home and business premises, we supply and install the following high quality services at unbelievably low price. Electric Fences Security Cameras...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza kiwanja mita 60*60, bei mil 15, kipo toangoma kigamboni, kina hati, Umeme upo, barabara ya gari inafika hadi kilipo kiwanja. Pm kama wahitaji.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, nina nyumba napangisha ipo mkoani iringa, mahali panaitwa kihesa semtema, inavyumba vinne, self containe, car parking na uzio wenye nafasi yakutosha.. Bei tsh 150,000 kwa mwezi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Decide what your website should look like, what function it should do..... you will tell us want you want and we will make it, if you are not satisfied we will do again, we will do it again, and...
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Wakuu, heshima mbele sana. We are looking for an office of 1 or 2 rooms kwa matumizi ya ofisi, hata kama ni ya kuchangia na wengine tuko tayari pia ku changia. Iwe maeneo ya Ada Estate...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
bb bold 9000 inauzwa tsh 250,000/= for more info check 0715 70 50 50.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Iwe na vyumba viwili vya kulala, sebure, na jiko. Iwe maeneo ya kijitonyama. Tuwasiliane kupitia namba 0784225000.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aiyenayo anitxt kwenye namba 0785800717..au anipm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, heshima mbele sana. We are looking for an office of 1 or 2 rooms kwa matumizi ya ofisi, hata kama ni ya kuchangia na wengine tuko tayari pia ku changia. Iwe maeneo ya Ada Estate...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bajaji inauzwa. number ni BPT ina miezi nane toka ianze kazi iko Dar es salaam, TVS king iko safi kabisa hata guarantee inatolewa kwa mnunuzi serious, pei ni 3.8Million. kwa anaye hitaji nicheki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni box body, engine 17 210, ipo katika hali nzuri sana,inatembea na bei ni nzuri. Serious bayers only. 0713664326,0784431214
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Anahitajika mtu mwenye ujuzi wa kutafsiri Kisomali kwenda Kiingereza. Ni kazi inaweza kuchukua hadi miaka mitatu na malipo sio mabaya. Kwa mfano, ukurasa mmoja wa maneno 450 ni TZs 32,400. Anaye...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wadau habari natafuta vitz used ama hata mpya bei nzuri. Pesa ipo cash tafadhali ni pm. Hata kama ni Rav 4 milango 3
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa vipo Mbezi Makabe (KM 3.5 kutoka Morogoro road), Mbezi Msakuzi(KM 5 kutoka Morogoro road), na Kwembe-Kibamba(KM 2 kutoka Morogoro road). Mita 20*25 bei 3.5M, Mita 20*25 bei 3M...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba kuwakilisha kama ifuatavyo: Nilikuwa natafuta simu aina ya samsung double line, nilipofika dukani muuzaji akaanza kunisifia kuhusu toleo jipya la TECNO HD na akanipa modeli HD 51 kwa...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Nimeitumia kwa miezi minne tu. Imetengenezwa kwa ajili ya Ulaya. Kama kuna anayehitaji ani pm, bei laki sita.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Suzuki vitara milango 5 manual, rangi nyeusi metaliki na ipo kwenye hali nzuri inatembea. inauzwa bei poa Tsh 7800,000/: ipo maeneo ya kawe dsm. kwa maelezo zaidi piga 0713664326
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ni nyeusi na nimeitumia kidogo. Bei-tzs 450,000/= Piga simu:0713656256
0 Reactions
1 Replies
894 Views
Narudia tena jamani wana JF napangisha nyumba maeneo ya njiro Nane Nane karibia na Uwanja wa Maonyesho ya kilimo TASO grounds, nyumba ina Sitting room, masterbedroom,study room,bedroom,kitchen...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni nyeupe na nyeusi 16gb na 32gb nimezitumia kidogo. Bei-tzs 800,000/= Piga simu:0713656256
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Back
Top Bottom