Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza vifaa vya mziki ambavyo ni,speaker bass zipo mbili.Speaker mid zipo mbili,closs over moja.Generator inayoweza kusukuma mziki ipo moja.Deck za audio cd zipo mbilli. Kwa anaehitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jamani nina Ka GDI kangu ka 1998 milango mitano natafuta shock absorber( shokapu) za Mbele
0 Reactions
1 Replies
3K Views
used bt works perfect, 200,000/- !! pm fo numbr if u wana buy... no discount
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina htc magic adroid mwenye uhitaji, ipo.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba ushauri,nataka kuweka tangazo na picha kwenye Jf. Nimeona ndovu wameweka lao na mimi ningependa niweke jirani na Ndovu. maana ukisha pata moja ya baridi unakuwa na hamu ya kiti moto. Je...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
htc g1 going for 200,000/- ... used bt in mint condition # ts urgent, no discount as well.. pm me if interested
0 Reactions
2 Replies
982 Views
kama kuna mwenye bberry bold ambayo iko kwenye hali nzuri na price not more than 200000 naomba ani pm
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Am looking for Blackberry 9000 or iPhone 3g Or any other phone with OS (operating system) My budget- 150,000/-Tshs IF any major au minor problem, will buy maybe but plz mention !
0 Reactions
8 Replies
1K Views
nauza mashamba kigamboni eneo la mkokozi/lugwadu napima kuazia nusu eka 5mil. Halina hati miliki zaidi ya barua ya serikali ya kijiji na risiti. Lipo km 20 kutoka ferry, umeme haujafika , barabara...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji HP Pavilion dv7 6089eo. Ina specifications zifuatazo: HDD: 500GB RAM: 4GB Processor: Quadri Core... Size: 17.3" HD screen. Pia ina fingerprint reader. Alternativelly, Toshiba yenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninatoa huduma ya kurudisha data (data recovery) kwa hakika, haijarishi ni siku ngapi zimepita na wala kwamba kuna waliotangulia walijaribu wakashindwa. Software zangu niza viwango katika ubora...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Blackberry Torch 9860 mpya kabisa inauzwa... Bei 650,000/= Nicheki kwa 0655003510
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kuna rafiki yangu mmoja anatafuta chumba kikubwa na kizuri cha kupanga maeneo ya Ngarenaro, Kaloleni, ILBORU na maeneo ambayo yapo mjini. Chumba hicho kiwe self contained. Kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nyumba inapangishwa kwenye shared compound. Ipo ndani ya fensi. Ni nyumba yenye vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master. Ina sitting room pamoja na jiko. Kuna sehemu ya kupaki gari. Ipo mbezi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wanajamii. Natafuta nyumba ya kupanga mwezi mmoja wakati namalizia mjengo wangu. nyumba iwe ya vyumba viwili au vitatu. Mimi niko Dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Kiwanja kina hati kimepimwa, eneo zuri, nyumba imezungushiwa fensi ya matofari, ina master b/room, vyumba 3 vya kulala, s/room, d/room, Jiko, mabanda ya uwani, Gereji, na maegesho ya gari. Maji ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii forums, najitolea kufanya kazi ya website designing... yeyote mwenye kazi ya kudesign website anaweza kunicheki kwa PM kisha nikasaidiana nae kufanya hiyo kazi bila malipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta iphone 4/4S kwa bei poa, nipo dar es salaam, pm me plz.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom