H HAKUNA Senior Member Joined Mar 12, 2012 Posts 133 Reaction score 66 Apr 14, 2012 #1 Ikiwa uko/utakuja Dodoma katika shughuli binafsi/kikazi na unahitaji usafiri katika shughuli/kazi zako. Jibu lako....!!!
Ikiwa uko/utakuja Dodoma katika shughuli binafsi/kikazi na unahitaji usafiri katika shughuli/kazi zako. Jibu lako....!!!
Ringo Edmund JF-Expert Member Joined May 10, 2010 Posts 4,879 Reaction score 1,134 Apr 15, 2012 #2 Kaka gumashi au imesajiliwa? Na unaruhusu self driver mpaka arusha? Kama ndiyo nikutwangie mgeni wangu akifika?
Kaka gumashi au imesajiliwa? Na unaruhusu self driver mpaka arusha? Kama ndiyo nikutwangie mgeni wangu akifika?
H HAKUNA Senior Member Joined Mar 12, 2012 Posts 133 Reaction score 66 Apr 16, 2012 Thread starter #3 Ringo Edmund said: Kaka gumashi au imesajiliwa? Na unaruhusu self driver mpaka arusha? Kama ndiyo nikutwangie mgeni wangu akifika? Click to expand... Ringo - Haturuhusu self driving kwa sasa, hilo ni moja kati ya malengo ya baadae. Kwasasa tunatoa huduma ndani ya Dom tu.
Ringo Edmund said: Kaka gumashi au imesajiliwa? Na unaruhusu self driver mpaka arusha? Kama ndiyo nikutwangie mgeni wangu akifika? Click to expand... Ringo - Haturuhusu self driving kwa sasa, hilo ni moja kati ya malengo ya baadae. Kwasasa tunatoa huduma ndani ya Dom tu.
Lastname JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 921 Reaction score 297 Apr 16, 2012 #4 perfect ideas, nimeipenda na nitawapigia debe, kikubwa zaidi nitakuwa salama na gari ya kampuni lakini tax mmmmmh. roho juu juu
perfect ideas, nimeipenda na nitawapigia debe, kikubwa zaidi nitakuwa salama na gari ya kampuni lakini tax mmmmmh. roho juu juu
MAMA POROJO JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 4,974 Reaction score 793 Apr 16, 2012 #5 30,000 ni bei ya siku mzima?