Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana JF kitu kizuri share na Jamaa zako, Jumba kubwa la kisasa (halijapauliwa)lenye underground Garage,M/bed room na sitting room au chumba cha mazoezi gym ya kisasa linauzwa bei ya kutupa Tshs...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nauza Toyota Rav4 model ya 2002 three doors metalic silver marufu kama kilitime hatembei,ni pm kama uko intrested
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa dar..wapi nitapata caps kali za MMG,ymcmb n.k....nikitajiwa na bei pia itakua poa,anayejua naomba msaada! eg..Last Kings Tyga Snapback ymcmb snapback MMG Edit Post Reply...
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Nyumba ina masterbedroom,2bedroom,sitting room,dinning room,public toilet na kitchen imewekwa bati bado kuweka flemu za madirisha na mirango,ina fensi ya miti gari inafika kwako,nimeanza process...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Laptop mpya na ya kisasa aina ya Gateway MD7820u inauzwa hapa Arusha kwa bei nafuu kabisa. Computer hiyo ipo katika hali nzuri na ina sifa zifuatazo: Display Type: Ultrabright™ TFT LCD...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Natafuta nyumba ya vyumba vitatu ndani ya geti, iwe na sehemu ya kuweka gari. Iwe na master. Maeneo ya kinondoni, kijitonyama na mikocheni. Isiwe kwenye shared compound. Bajeti isizidi 350,000 kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
milioni kumì(10m),rangi ni silver. Automatic. Piga:0713656256
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu heshima mbele sana. Kama unauza gari kwa bei hiyo tafadhali tuwasiliane, vile vile toa maelezo ya gari hilo Kama:- Mwaka wa kutengenezwa Limeingia lini nchini Limetembea kilometer ngapi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nahitaji Ipad 2 au Galaxy Tablets ya Samsung au Acer mpya ya kununuua.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
toyota landcruiser vx ya mwaka 1996 engine 4200cc manual transmission ,bei dola 18000. toyota landcruiser zx mwaka 1995 engine 4200cc IHZ MANUAL , BEI DOLA 18000.ANAHITAJI ANI PM NIMPE PUNGUZO.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima mbele! Nahitaji ushauri wa wataalamu wa biashara ya magari. Kuna mdau anataka kuniuzia gari hiyo - Land Rover Discovery V8i (model ya mwaka 1999). Gari ni nzima, nimeijaribu kwa kuendesha...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Make---Toyota Model---Noah Year----2003 CC------2000 Colour---Black Condition ---Excellent Price ---16.5 Million (Maelewano yapo) kununua au Kuona call/piga ----0719539431(larson) picha yake...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Any one who need any type of blackberry email me on emilrama@gmail.com or txt me on 0713079282
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu blackberry torch 9860 inauzwa kwa 650,000/= kama utahitaji kuiona ncheck kwa 0654000253 pich hii hapa.hii ni imported from US
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana Jf jaman me ndyo kat ya wale 4rm 6 leavers natafuta tempo ya kufanya for smwtym hapa town,,me npo Arusha and basically nina Certificate ya A+(cmpter maintanance and repair) i knw a lot abt...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wan JF! Natafuta laptop used ambayo sio mbovu mbovu, nina 400000, nipo moro mjini so kwa anayeuza ani-pm 2fanye biashara, NIPO SERIOUS NA NAOMBA HIYO ISIWE MBOVU, na kama tatizo ni betri...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Blackberry Torch 9800 used for 4month for sale, iko kwenye condition safi sana kana inavyoonekana kwenye picha. Bei ni 500,000Tshs kwa anaye hitaji please check me on watchesandmobile@gmail.com...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wakuu! Nahitaji gari dogo la kukodi hapa DSM kwa ajili ya kuendea kazini mainly. Nitaendesha mwenyewe au nikipewa na driver itakuwa bora,kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 6usiku maximum Ni...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
suzuki escudo, ipo kwenye hali bomba,imetembea KM 78000; petrol engine, manual flow gear, AC&CD player vpo safi kabisa. Bei 7mil. Kama kuna muhitaji ani pm.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta mhandisi wilaya wa Kinondoni ili anijulishe gharama za kupitisha ramani kwa ajili ya building permit. Kama wewe ni trust worth engineer tafadhali ni pm.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…