Ntafuta generator ya kuwashia taa zangu tu sio pamoja na fridge

Mbwambo

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
625
93
Ninatafuta Generator ya kuwashia taa zangu na feni bila FRIDGE
Ninaweza kupata kwa bei gani na lina ukubwa kiasi gani?
Naomba msaada kutoka kwa wataalam wanisaidie
 
Angalia uwezekano wa kutumia solar Mkuu. Ukiangalia gharama za kununua generator na bei juu za mafuta, utaona kuwa umeme wa solar unalipa.
 
Angalia uwezekano wa kutumia solar Mkuu. Ukiangalia gharama za kununua generator na bei juu za mafuta, utaona kuwa umeme wa solar unalipa.

Asante kwa ushauri ila nasikia Solar ina bei juu sana? Nisaidie ushauri kaka
 
Naomba nisaidie kidogo je wewe ulilipa Tshs. ngapi kuwekewa nyumbani kwako?
 
Kama taa 4 na feni bora ununue solar haitozidi laki 3,halafu usiangalie initial costs angalia long-term run,nauhakika kurun jenereta kwa mwezi mzima itakucost karibia litre 70 ambayo ni ~laki na 40,kwahyo kwa mwaka mzima kalibia 1.7mil sasa uoni solar hata ukinunua ya laki 5 bado umesevu?
 
King Ko,
Asante ushauri, lakini nina wasi wasi taa zangu ni kibao ita ni cost Tshs. 300,000/= kweli ?
Nisaidie zaidi
 
Naomba nisaidie kidogo je wewe ulilipa Tshs. ngapi kuwekewa nyumbani kwako?
Mimi naishi ughaibuni. Nilizinunua kwa matumizi yangu pindi nikiwa Tanzania. Hizi hazina gharama ya kufunga kwani una plug tu na zina waya special tayari. Hazina shida kabisa. Ila ni kwa ajili ya matumizi ya mwanga tu, vilevile ku charge mobile phone au kusikilizia radio. Kwa matumizi makubwa zaidi unahitaji solar panels kubwa kutegemea na matumizi yako, charge controller, inverter na batteries. Unaweza kuni pm kwa maelezo zaidi.
 
Mimi naishi ughaibuni. Nilizinunua kwa matumizi yangu pindi nikiwa Tanzania. Hizi hazina gharama ya kufunga kwani una plug tu na zina waya special tayari. Hazina shida kabisa. Ila ni kwa ajili ya matumizi ya mwanga tu, vilevile ku charge mobile phone au kusikilizia radio. Kwa matumizi makubwa zaidi unahitaji solar panels kubwa kutegemea na matumizi yako, charge controller, inverter na batteries. Unaweza kuni pm kwa maelezo zaidi.

mkuu kwa ambayo kubwa kidogo inayoweza kuwasha tv,fridge na taa inaweza ikagharimu kiasi gani?na pia uwezo wa kuhifadhi umeme inakuwaje wakati wa mawingu au mvua?
 
Mimi naishi ughaibuni. Nilizinunua kwa matumizi yangu pindi nikiwa Tanzania. Hizi hazina gharama ya kufunga kwani una plug tu na zina waya special tayari. Hazina shida kabisa. Ila ni kwa ajili ya matumizi ya mwanga tu, vilevile ku charge mobile phone au kusikilizia radio. Kwa matumizi makubwa zaidi unahitaji solar panels kubwa kutegemea na matumizi yako, charge controller, inverter na batteries. Unaweza kuni pm kwa maelezo zaidi.

Asante kaka Kumbe ni rahisi kutumia kiasi hicho
Nimewatumia email mchana huu ili wao waniambie gharama na ushauri zaidi
Nakutakia maisha mema ughaibuni. Sisi tuko Bongo tunamshukuru sana Mungu japo hali ni ngumu.
Je waweza kuniambia uko ungaibuni ipi? Napenda kufanya biashara nikipatra mtu wa kunipatia details za vitu gani vitanipa faida nikiagiza maana mimi mwenyewe niko Bandarini





 
Asante kaka Kumbe ni rahisi kutumia kiasi hicho
Nimewatumia email mchana huu ili wao waniambie gharama na ushauri zaidi
Nakutakia maisha mema ughaibuni. Sisi tuko Bongo tunamshukuru sana Mungu japo hali ni ngumu.
Je waweza kuniambia uko ungaibuni ipi? Napenda kufanya biashara nikipatra mtu wa kunipatia details za vitu gani vitanipa faida nikiagiza maana mimi mwenyewe niko Bandarini

Dah, wewe kiboko
 
Back
Top Bottom