Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari zenu wanajamvi! Mwenye external cd rom inahitajika, iwe ni dvd writer. Ukiwa nayo nipm tafadhal, specification pamoja na bei ni muhim. Ahsanten!
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Used and refurbished -in a box;1.8Ghz duo core/80GB/1GB RAM/DVDRW/14" screen/3 month warranty-8 pcs available.PM or rakeyescarl@yahoo.ie. 599,999TZS -discount(free delivery)
0 Reactions
2 Replies
925 Views
first 2 buyers will get ZAIN E220 modem....... 0713688266 0774688266
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Natafuta new Toyota Vitz....My Budget is 8million....CC iwe from 1000-1300...MILEAGE less than 80,000km.....I prefer gray or black colour
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wadau nauza BB play book mpya ni kama tablet ina 32 gb bei nusu ya bei ya dukani pm me
0 Reactions
7 Replies
1K Views
pm me for more information and Questions. Maswali Yanaruhusiwa. \\sababu za kuuza ni Kutaka kuwa na Mashine Mpya Yenye Webcam. COMPUTER INA SIFA ZIFUATAZO RAM 4GB HDD 250GB PROCESSOR DUO 2...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo vp?? Gari aina ya subaru impreza inauzwa, Ni ya mwaka 1996, Imetembea 126,000km, Bei 4.5m Contacts 0717 543373 0786 305664
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau poleni na mishemishe za kila siku.naomba mwenye information yeyote hapo juu anipm tufanye biashara nahitaji kiwanja iringa mjini kiwe medium size na kiwe na offer vilevile kisiwe katikati ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, Ninauza pik up single cabin 12-r engine ya 1989 Ni toyota hilux ya petrol iko registered na katika condition nzuri ipo arusha Bei ni 6.5m Kwa atakayehitaji tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Kwa anayehitaji mahindi ya mwaka jana, yanapatika mkoani Dodoma. Kwa details zaidi piga 0682 716931.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani kiukweli ni kwamba sina uwezo wa kuingia dukani na kuulizia hizi simu naomba mwenye nayo bei ninayo laki mbili ,iwe ina uwezo wa 3g au touch screen iliyo tumika ila isiwe mbovu hii kwa watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza unga wa mahindi "SEMBE" na pumba safi toka Kibaigwa. Kwa maelezo zaidi 0754013623
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za majukumu wakuu, natumai mna afya njema. Ninauza gari yenye maelezo yafuatayo: Aina: Nissan Bluebird Year of make: 1995 Colour: Dark Metallic Blue (imeungua na jua) Odometer...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Samsung SGH-E250,inauzwa ni used,ina internet,google opera mini,inatumia memory,camera,video camera,bluetooth pia ni ya slide.BEI 60,000/= TU.SMS AU PIGA NAMBA 0719271039 AU 0765 618067.
0 Reactions
0 Replies
873 Views
inapatikana tabata bima opposite na st.mary. ni self container yenye vyumba 4, unaweza paki gari hata 5, ina uzio mkubwa na bado mpyaaaa, bei yake ni sh. laki 4 na unalipia miezi kuanzia 6...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau, Kwa anayehitaji viwanja (mashamba) maeneo ya Majohe karibu na Chuo cha Ualimu cha West Dsm Teachers College, vinapatikana. Ukubwa ni mita 20x35, milioni 5 30x 70 milioni 7 20x20...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani sijapata bado nyumba nzuri ya kupanga Arusha bei ni 200,000 ikiwa chini ntafurahi pia
0 Reactions
0 Replies
994 Views
wakubwa na nyingne tena I pad two ya 64 GB 1.2 m na ya 32 gb 1m zote na wiki mbili natoa na cover pm me
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Zinahitajika Suzuki Swift from 2003, Suzuki Escudo frm 1995 na RaV4 from 1998 mileage zisizidi 100k, ziwe 5 door, ziwe kwenye hali nzuri sana. Tuma picha ya gari pamoja na offer yako kwenye...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Poleni na hekaheka za msiba na sherehe ya Pasaka. Natumai wengi tutakuwa na afya njema. Nina shamba au waweza kuliita kiwanja kulingana na utakavyotaka kulitumia. Lina ukubwa wa hekari 2 na...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Back
Top Bottom