Hiyo 2002 ndio model yake au nikueleweje? Hiyo gari inaonekana kwa mbele tu, si rahisi mtu kujua kuwa ni station wagon, couch au van. Hebu funguka zaidi wananchi tujitutumue kutembelea masaburi. Andika kwa mfano huu:
Toyota Noah 4D Rampire
RHD, Auto, 4WD, Airbag, Leather Seats n.k
Binadamu akipata specifications za kutosha anashawishika zaidi, lkn ukiandika toyota tu mimi nabaki njia panda manake toyota ana model kama 197 hivi.