Magari haya yapo sokoni kwa mawasilianao zaidi piga 0719539431 .Kuona picha zaidi ya Magari haya nenda kwenye blog yetu hii hapa Magari
Millage -98,000km
Price- 7.5 Million(maelewano yapo)...
Khabarini zenu wan JF, naomba msaada wa bei ya kupanga nyumba nzima maeneo ya Tabata chang'ombe,najua kama kuna madadli ila kwa sasa nipo mbali ndyo nataka kuja DSM, hivyo basi kama unaexperience...
Kampuni ya Mek-Elekt inajishughulisha na electronic renovation, installation za CCTV cameras. Environmental cleaning, Car Rental, kutengeneza uniform za aina zote. Karibuni sana wadau. Kwa...
guys niaje,natafuta any blackberry iwe Used Either Pearl or Curve Iwe Katika Condition Inayoridhisha Kidogo..pia mwenye Android bt not Ideos za tiGO..bei yangu ni 100,000..nipigie simu au tuma...
Heshima kwenu wakuu,
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara,sinza,tabata au magomeni.Nyumba iwe na bedroom 1 preferably self contained,sebule na kajiko.Privacy ni muhimu.budget yangu ni...
Je unakitega uchumi kimojawapo hapo juu na huna nuda wa kusimamia vizuri biashara yako?
Tunazo software zitakazo track mapato yako yote kwa ufanisi na kukusaidia kumanage biashara yako...
Je ungependa kuwa na website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara au kampuni yako? Usisumbuke karibu Microtelecomms. Tutakutengenezea website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara yako au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.