Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Container la 20ft linakodishwa Chang'ombe toroli, Liko barabarani kabisa, along barabara itokayo Serengeti Brew. Limepigwa Rangi ndani na nje, pia kuna Gypsum kwa ndani. Kodi ni Tshs 70,000/= kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Serikali ya New Zealand inaendesha zoezi la upigaji kura ktk mtandao wa Yahoo,kupata maoni yetu kuhusu kupiga marufuku vazi la NIKAAB ktk nchi yao.Pls saidia dada zetu wa New Zealand kwa kupiga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadua Nina photocopy machines zinauzwa kwa bei ya chini kabisa (fast sale) kama ifuatavyo Canon NP6028 TZS 700,000 Canon NP6030 TZS 700,000 Canon IRC3220 TZS 1,500,000 (ya rangi) Canon...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nauza personal collection yangu ya novels. 1. The Tristan Betrayal- By Robert Ludlum 2. The Bourne Supremecy - By Robert Ludlum. 3. The Bourne Ultimutum - By Robert Ludlum. Bei 12,000/=. Na The...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa mtu anayehitaji nokia n 900 anipigie 0717798300
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Anaeuza Ipad 1 au 2 anicheki nataka kununua weka na bei
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Nauza Original Samsung Champ 2 Duos model no c3332 kwa bei ya 220,000 tu. Simu Ni mpya kabisa, haijawahi tumika, iko katika original Box yake na Inatumia Line Mbili. Ina touch screen, very...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wenu, kupata DVR Kama hiyo au tofauti ya kudumu na pia bei nzuri nina haraka kidogo na baadae ntapenda nipat camera zake, au mtu anayeuza CCTV system complete kwa bei nzzuri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
machine ya juice ya miwa kilo 300 kwa saa na oven kubwa ya biashara ya gas machine ya kumenyea viazi 30 kilo kwa maelezo zaid nipigie 0652104144
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, naomba kutaka kujua namna ya kufungua website; nani ni webhost mzuri kuanzia gharama; disigning etc.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Ndugu wanajf naomba munijuilishe ni sehemu gani haswa hapa dar wana exchange rate nzuri ya dollar, pia katika mikoa mengine wapi ntaweza kununua dola kwa bei nzuri. Kama kuna websites za bureau de...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mwenye nayo au ambaye anajua bei yake anijuze.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
ni manual car ya 1995 bado ina nguvu zakutosha. ina engine ya Rav 4 ambayo ni 3S. ni Petrol na CC 1880. black colour tinted. 4doors;power window;rind handside wheel; imetembea 188890km mpaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sifa. Awe mhasibu aliyebobea, awe na uzoefu wa miaka 5 na kuendelea. Mshaara ni maelewano. Hii ni kwa wakaaji wa moshi tuu. Ni pm tafadhali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya kupanga, mimi ni dalali. inahitajika nyumba yenye vyumba vi-3 au 4 pamoja na master bedroom. Iwe na fence, iwe na tiles pia. Maeneo ni sinza, ilala boma au magomeni. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Hey members, Biashara hiyoo!!! Location Nachingwea Price 25Million Email: tway4di@gmail.com Au ni-pm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba lenye ukubwa Wa hekari 60 lililopo eneo la Mlandizi, Dar es Salaam linauzwa. Shamba lina jumla ya Ngo'mbe 20 mbuzi 120; kondoo 70. Pia lina nyumba 1 na trekta 1 wasiliana na Bw. Ibrahim...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta msichana wa kaz za ndan. Mshahara maelewano. Elimu drs la 7.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wakuu Mwenye uelewa na printer hizi naomba anisaidie kuelewa bei yake hapa DSM na duka gani zinjapatikana ili nikanunue. HP LaserJet 1010 Printer (Q2460A)
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Brand of the Car: Daihatsu Terios. Year: 1999. Kilometres: 114,600 Engine Size: 1290 cc Colour: Silver Metalic. Transmission: Manual, 4 wheel drive. Price: Tshs 13,500,000/negotiable...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…