da mkuu unayo zaidi ya miaka 5 lakini bado inapiga kazi? je kariakoo naweza nkaipata katika duka gani? na ni duka gani zuri kwa hii mambo?1010 ni ya zamani badala yake utapata 1102 zinafanana shs 160,000-200,000 kariakoo unapata zote ninazitumia lkn nahisi 1010 ni nzuri zaidi ninayo zaidi ya miaka 5.