K kiruavunjo Senior Member Mar 30, 2011 154 32 Apr 27, 2012 #1 Sifa. Awe mhasibu aliyebobea, awe na uzoefu wa miaka 5 na kuendelea. Mshaara ni maelewano. Hii ni kwa wakaaji wa moshi tuu. Ni pm tafadhali
Sifa. Awe mhasibu aliyebobea, awe na uzoefu wa miaka 5 na kuendelea. Mshaara ni maelewano. Hii ni kwa wakaaji wa moshi tuu. Ni pm tafadhali
Criss Alex Senior Member Apr 18, 2012 111 10 Apr 27, 2012 #2 We mimi nina dada yangu na anauzoefu wa miaka 6 sasa! Je unataka uwasiliane naye?