Natafuta nyumba ya kupanga

missilicious

Member
Apr 16, 2012
29
7
natafuta nyumba ya kupanga, iwe Tabata Kinyerezi, iwe na vyumba viwili, sebule, jiko na choo. Parking ni ya muhimu. Mwenye nyumba awe tayar kupokea miezi sita na isizidi laki 2 kwa mwezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom