Nyumba inauzwa ipo kinondoni

Nyumba inauzwa ipo kinondoni

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Ipo pembeni kabisa ya barabara ya lami . ina vyumba 8 eneo kubwa na gari inaingia mpaka ndani
Tuwasiliane Havilla Real Estate Agent 0657 14 55 55, 0755 099 291 , 0657 14 55 55
 
Be serious with your business. Utatangaze nyumba inauzwa bila hata kuweka picha kuonyesha inafananaje. Hapa unaangalia biashara ya milions of money be serious.
 
Be serious with your business. Utatangaze nyumba inauzwa bila hata kuweka picha kuonyesha inafananaje. Hapa unaangalia biashara ya milions of money be serious.
picha itawekwa j3 kaka, lakini wako ambao wamepiga cm na wamekuja kuiona. asante kwa ushauri
 
Ongezea madikodiko kama location, plot no, bei (initial), ... etc kama upo serious. Tunaogopa akina papaa musofe,musee ya pesa nyingi
 
kwa kawaida mtu anayenipigia cm ndiyo namueleza yote, pia huwa kuna gharama za kumpeleka mtu akaone nyumba
 
kwa kawaida mtu anayenipigia cm ndiyo namueleza yote, pia huwa kuna gharama za kumpeleka mtu akaone nyumba

Ni Tshs ngapi hizo gharama tujiandae kabisa tukikutafuta??
 
pia nina nyingine ya 35,000.000.00 haizungumziki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom