Habari wanaJF,
Nauza hili gari,ni Nissan presea(refina) ya mwaka 1996,imetembea kilometer 120,000 ,1500CC engine,ni automatic,ina alloy rims,music system nzuri,a/c,driver and passenger...
Nyumba ya kupanga inahitajika Dar vigezo:
Vyumba visipungue 3
Iwe na maji, parking
Iwe inajitegemea naishi peke yangu
Maeneo ya mwenge, sinza, external and near by, etc in gerneral but not mbezi...
I recover lost data from hard disk, CD/DVD disk, memory stick, memory card and USB flash drive. If its after accidental deletion or from formatted partition, deleted partition and damaged...
I recover lost data from hard disk, CD/DVD disk, memory stick, memory card and USB flash drive. If its after accidental deletion or from formatted partition, deleted partition and damaged...
Habarini ndugu zangu? naomba mawazo yenu naamini wapo ambao wana uelewa mkubwa kuhusu wapi ntapata fancing wire kwa bundle na bei yake na heka moja inatumia kiasi cha bundle ngapi .nina kashamba...
Tunaitwa BPM VIDEO SHOOTING,tupo Mbeya,kabla tulikuwa Arusha. Tunafanya shooting kwenye harusi,sendoff,mikutano,birthday party n.k! Bei zetu ni maelewano! Kazi zetu zina ubora wa hali ya juu...
Natafuta wajasiliamali // company inayojishughulisha na kazi za ku-print T-shirt full colour na yasiwe yale ya kufua mara mbili / tatu yakafutika. Tuwasiliane kwa PM haraka sana.
Ndg wapendwa wa JF habari zenu.
Jamani nahitaji container la futi 20 au 40 la mwaka wowote ili mradi bado ni zima au linaweza kumudu shughuli za biashara kama ya duka.
Naomba mwenye nalo au anaye...
Brand of the Car:Land cruiser Prado EX
price ........................................22,000,000
kilometer ...............................82600
Body type
SUV & Offroad
Drive
PART 4WD...
nimeingiza mzigo mdogo kipindi hiki Ipad2 16gb mpya kwa 1,050,000. Bb9800 kwa 550,000, iphone 4 kwa 850,000, bb9780 na curve. kwa sasa ni hizo tu mzigo mwingine mkubwa utaingia katikati ya mwezi...
Wakuu,
Naomba kujuzwa na wataalam wa magari kati ya gari zenye injini ya I4 cylinder na V6 cylinder. Je ni kweli gari zenye injini ya v6 zinatumia mafuta mengi kuliko I4? Mfano nina gari lenye...