Ndg wapendwa wa JF habari zenu.
Jamani nahitaji container la futi 20 au 40 la mwaka wowote ili mradi bado ni zima au linaweza kumudu shughuli za biashara kama ya duka.
Naomba mwenye nalo au anaye fahamu wapi nitalipata au kuniuzia kwa BEI NAFUU.
Nitashukuru sana kwa msaada wenu wana jf.
Jamani nahitaji container la futi 20 au 40 la mwaka wowote ili mradi bado ni zima au linaweza kumudu shughuli za biashara kama ya duka.
Naomba mwenye nalo au anaye fahamu wapi nitalipata au kuniuzia kwa BEI NAFUU.
Nitashukuru sana kwa msaada wenu wana jf.