Ina room 3 moja ni master, jiko sebule , dining na vyoo vya ndani. Gari inafika hadi mlangoni bei yake ni tshs 25,000,000/= nyumba imekamilika mtu anahamia tu kwa maelezo zaidi 0712976729
Namtafuta mtu anayeitwa Mr Omari Kiwanda.
Aliwahi kuwa mhasibu wa polisi wilaya ya Korogwe, then akahamishiwa Polisi Morogoro kwa kazi hiyo hoyo. Baada ya hapo mawasiliano naye yalipotea...
hey guys natafuta ipod touch used ya kununua by the end of the month mshahara ukitoka...kama upo interested please PM me your number,price na specification za ipod then mwisho wa mwez au kabla ya...
Mashine hiyo bandugu, Fair price kama unavyoona (400,000 cash), Haipandi haishuki
Specification:
HDD 120GB
Ram 2GB
Processor 2GB
Ina web camera pia
Pm me is you want it
Habarini
Nataka niingie Kariakoo nikanunnue generator:
Tanesco ikikata umeme home kwangu nataka niwashe Generator kwa matumizi yafuatayo
Taa
fridge
tv
Hiyo fridge sio lazima sana.
Kwa mwenye...
Tunauza na kufunga GRP tanks zinapatikana katika ujazo tofauti kuanzia lita 10,000 mpaka lita 2,000,000 na unaweza kupata zaidi ya hapo kwa kutoa order mapema.
Hizi tanki ni imara na hazishiki...
I am selling grade one Dewan Cement from Pakistan at Tshs. 13,500 ex warehouse Dar es Salaam.
Ni cement nzuri sana. Wahi mapema ujipatie.
Piga namba 0763840303 kwa maelezo zaidi.
Awe na uzoefu wa kufanya kazi katika makampuni au viwanda, mfano construction companies, manufacturing companies, mining companies n.k.
Mwenye sifa ani-pm.
Welcome to the JORDAN EXPRESS Company page. Dealers in importing new & used vehicles, motorcycles, Freight Clearing & Forwarding,Logistics, mining-equipment, agricultural machinery , electronic...
Magari haya yako sokoni.ili kununua au kuona tafadhali piga hizi namba 0719539431 pia kuona picha na vielelezo zaidi kuhusu magari haya tembelea blog yetu hii hapa...
Kama unatafuta kiwanja au unataka kununua nyumba, pia kama unauza kiwanja au nyumba popote Tanzania, tuma ujumbe wako kwenda 0718 - 617 522 au email: viwanjanyumba@gmail.com
Bei nzuri ya soko...
Kuna suzuki grand Vitara from Uk ya mwaka 2003 inauzwa pound 2295 sasa je mpaka ifike Bongo na makodi yote ya TRA mpaka niitie mikononi inaweza kuwa shs ngapi.Msaada wadau wa hivi vitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.