Enny JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 962 Reaction score 131 Jul 4, 2012 #1 Kiwanja kinauzwa Mabwe pande kina michungwa, minazi mitatu. bei ni milioni 9 tu. Hakina dalali, kama unahitaji tafadhari nipigie simu 0782555519. Ahsante.
Kiwanja kinauzwa Mabwe pande kina michungwa, minazi mitatu. bei ni milioni 9 tu. Hakina dalali, kama unahitaji tafadhari nipigie simu 0782555519. Ahsante.
Money Stunna JF-Expert Member Joined Aug 9, 2011 Posts 13,053 Reaction score 6,333 Jul 4, 2012 #2 uko ndio wanakochinjia watu
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,970 Reaction score 30,135 Jul 4, 2012 #3 Wakati unalima unaweza kukutana na mafuvu na mifupa ya binadamu
mtzedi JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 6,188 Reaction score 6,441 Jul 5, 2012 #4 si ndo huko walipomsulubisha dr stiv ulmboka
Kirode JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 3,566 Reaction score 84 Jul 5, 2012 #5 Siitaji labda mpm, ritz anaweza kukiitaji au zomba pia tume ya katiba....
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,970 Reaction score 30,135 Jul 5, 2012 #6 Hicho kiwanja kikipata mteja Njoo nikupe hela nyingine kama hiyo utakayolipwa BURE!!
Madela Wa- Madilu JF-Expert Member Joined Mar 24, 2007 Posts 3,063 Reaction score 744 Jul 5, 2012 #7 MP mbona kuko poa tu? Cheki kwenye Google map watu watu wameuzunguka msitu wote