utumbomkavu
Member
- Jul 2, 2012
- 7
- 0
Wadau Naomba Msaada Wenu kwa Hili: Required,
Kwa yeyote mwenye ujuzi wa hawa wanyama, pia uuzwaji wake, naomba tuwasiliane tafadhali.
Pia naomba nipate kujuzwa jinsi gani hawa wanyama wanaweza kusafirishwa mpaka Rwanda (Vibali, gharama na mazingira ya kuwasafirisha n.k)
Akhsante!
10 donkeys (castrated male or female) of 3-4 years old. Must be healthy & standard type of donkeys.
Documents like certificate of origin (donkeys are from Tanzania) and veterinary certificate must be provided
Thank you,
Regards.
Kwa yeyote mwenye ujuzi wa hawa wanyama, pia uuzwaji wake, naomba tuwasiliane tafadhali.
Pia naomba nipate kujuzwa jinsi gani hawa wanyama wanaweza kusafirishwa mpaka Rwanda (Vibali, gharama na mazingira ya kuwasafirisha n.k)