We do fix and install security cameras and electric fence at a good price. We also give a warranty of one year. We have done that for some banks. Please call 0712435316 for more information.
Mkuu nina uwanja wangu wa mita za mraba 1220 ambao nitajenga ukuta, je hiyo electric fence mnaweza kuniwekea kwa kiasi gani?
je ? unaweza kuniwekea kwenye mabanda yangu ya kuku ili vibaka wasinisumbue
Bei yake ni 4.5million. But inaweza ikapungua
Ok mkuu. Vilevile nahisi kama nahitaji kuwa na bastola. Jirani yangu majuzi alinusurika kuvamiwa na majambazi. Bahati nzuri aliwaona mapema wakiwa wanabebana kuruka ukuta na yeye ana bastola wakajibisha kidogo kwa risasi kisha wakatoweka. Je unaufahamu utarabu wa kupata hii kitu (bastola)?