Nataka kununua msitu wa Mabwepande

Nataka kununua msitu wa Mabwepande

mfianchi

Platinum Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
12,144
Reaction score
8,882
Kwa anayeumiliki msitu wa Mabwepande nataka kuununua kwa bei yoyote ile,nawakilisha
 
WatakuUlimboka bure bora ukafuge simba na chui humo.
 
hawawezi kuuza, manake watakosa pa kufanyia kafara
 
Ha ha ha!!!Ukitaka mgodi wa dhahabu utapewa bure lakini sio kununua Mabwe...!!!
 
Tunaufanya buga ya Taifa, will creat a lot jobs and money for the state
 
Haha jamani nataka kuwekeza ili serikali ipate kodi, kuwa hifadhi ya makaburi ni kuikosesha serikali mapato
 
mfianchi

Weka propasal zako pengine watashawishika kukuuzia.


Haha jamani nataka kuwekeza ili serikali ipate kodi, kuwa hifadhi ya makaburi ni kuikosesha serikali mapato
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom