Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wakuu hali zenu, kwa yoyote mwenye connection ya watu wanaonunua haya magari, mie natafuta mteja, tukubaliane bei ni mil 55, tunaandikishana mkataba likifika ana nunua, hatoi hata hela yake mpaka...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
habari zenu wakuu kuna iPad 2 yenye 3g na WiFi IPO kwenye hali ya upya.imetumika wiki tatu tu!. bei 850,000 tsh maelewano yapo. pigs 0688112112 au 0719223225
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Laptop 60 za kukodi zinahitajika kwa ajili ya seminar ya siku 5. mwenye nazo awasiliane na +255 712 787939 kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
PROCESOR 1.67 GH,RAM 1GB,HARD DISC 150 GB,WEBCAM etc.....imetumika kidogo....bei ni 400,000/=.....0717754355...niko moshi
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Serious buyer anayehitaji magari hayo anipm bei ya kawaida.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kumpata dalali au nyumba maeneo ya magomeni,au makumbusho,,,mawasiliano yangu ni 0756417504
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi ninauza Mbwa aina ya Belgian Shepherd Malinois, nimebakiza puppies wa 3. Majike 2, Dume 1. Wamezaliwa wana wiki 1 mpaka leo trh 21 July 2012. wamezaliwa puppies wa5 wawili wapo kwenye oda...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
SAMSUNG NYEUPE s 2 laki 7.5 ina boksi BB Torch mia 500 I phone 4 mpya laki 6.5 ncheki kwa bidhaa zaidi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
This is for all owners of the medium size restaurants/hotel and big families. Simgas Tanzania Limited has a complete solution for you by launching its second product gas 2000 after great...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta bb curve 9360 mpya,mwenye nayo tafadhali anijulishe ninunue.
0 Reactions
1 Replies
819 Views
wakuu nahitaji kujua ni duka gan hapa mjini dar es salaam linauza vifaa vya kisasa vya saloon ya kiume ,nataka kufungua soloon ,msaada wenu wadau
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samsung Intel,Soler Energy, HD 300GB, Ram 2GB, Linux Deepin 11.12,Nyeusi Software za Microsoft zote zinaingia, Haiathiriwi na Virus Bei 600,000/= maongezi yapo! Inamiezi miwili tu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani kwa anayehitaji line za tigo pesa naomba aniPM. Bei ni nafuu
0 Reactions
11 Replies
5K Views
husika na kichwa Cha habari,nahitaji blackberry Curve 8530 (curve 2) iliyotumika.. Pesa niliyonayo CASH ni 150,000..kama Unayo send Message to this number 0782882873
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Ni simu nzima bila matatizo yoyote, n Sent from my BB
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Hiyo simu inauzwa imetumika miezi miwili tu. Inacharger original na headphone original. Bei ni 320,000. If interested pm me please!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu nauza nokia asha 200 kwa kiasi cha tshs.140,000/=. kama wahitaji nipigie simu namba 0715404808, simu imetumika wiki 3 tu! Nokia Asha 200 Nokia Asha 200 review: Dual SIMpatico...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu nisaidieni nahitaji kununua matyre ya gari langu lakini nimezunguka kwenye maduka kila nikiulizia naambiwa hili kiasi fulani ni china mara hili la india mara hili ni Vee Rubber. jamani...
0 Reactions
21 Replies
31K Views
Kiwanja kinauzwa,kipo Kigamboni(mwongozo)kina hati na kimepimwa.Hamna dalali,simu yangu ni 0753875055
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna yeyote anayefahamu hawa dealers wa hizi pikipiki za Honda Ace wako wapi? 2012 Honda Ace CB125 and Ace CB125-D – $627 Motorcycles for African Market | Motorcycle.com News
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…