C Ceasar255 New Member Joined Jul 26, 2012 Posts 1 Reaction score 0 Jul 26, 2012 #1 simu ipo katika hali nzuri imetumika kwa mwezi mmoja tu gharama yake ni laki mbili na themanini kwa mawasiliaono 0716049450 jr.ceasargeorge@gmail.com
simu ipo katika hali nzuri imetumika kwa mwezi mmoja tu gharama yake ni laki mbili na themanini kwa mawasiliaono 0716049450 jr.ceasargeorge@gmail.com
Mla Mbivu JF-Expert Member Joined Nov 15, 2010 Posts 224 Reaction score 48 Jul 26, 2012 #2 Jaribu kupita dukani uangalie inauzwa sh ngapi kwa sasa ndo na wewe upange bei ya used, hiyo simu inauzwa laki 2. Tena mpyaaaa na warranty.
Jaribu kupita dukani uangalie inauzwa sh ngapi kwa sasa ndo na wewe upange bei ya used, hiyo simu inauzwa laki 2. Tena mpyaaaa na warranty.