Nyumba ya kupanga inahitajika.

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,467
11,166
Maeneo: Mwenge, Savei, Mlimani city, Makumbusho, nk..

iwe na vyumba viwili vya kulala, sebule pamoja na jiko. Iwe ndani ya fensi.

Bajeti yangu ni 250,000.

natanguliza shukrani.
 
mimi ni dalali mkuu, nina nyumba makumbusho upande vyumba 3 vya kulala bei 300,000 . kuna nyumba ya vyumba 4 kimoja master compound inatosha magari 2. kodi laki 3 miezi 6 anachukua. ipo kinondoni mkwajuni eneo linaitwa juhudi. na pia nina nyumba kama 3 zipo kijitonyama bajeti yake 700,000 . kama utahitaji hizo nyumba tuwasiliane haraka ukaone na kulipia . kumbuka wanaohitaji nyumba ni wengi kuliko idadi ya nyumba zilizopo. 0657 145555
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom