ukiwa unatokea Magomeni kuelekea posta ukifika kwenye taa za jangwani,kabla ya office ya fire,kushoto njia ya kwenda Muhimbili hospital na kulia kuna petrol station ya Total,upande wa kulia kuna yard ya magari jirani ya hii yard kuna gorofa pale wanauza.Panaitwa Radium kama sijakosea jina.Ila uwe na pesa gharama zao si mchezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.