Nauza printer nimeitumia kama mwezi mmoja, bado ni nzima vya kutosha, ni HP inkjet A1050 inafanya kazi 3 kwa pamoja ambazo ni: Printing, Scanning na Photocopying. ​Anayeitaka ani-PM nipo dar
Creative PLUS is a reliable Web Development, Website Design, Web Hosting and SEO services company in Tanzania providing professional website designing, custom web development, ethical search...
Hi wana JF wote,
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo yalipo mashamba hayo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa...
Ninauza viwanja 6 vya ukubwa wa mita 20 x 20 bei 2,000,000/= kila kimoja. Viko sehemu moja namba yangu 0754571000 au 0784551259
ni maeneo ya kitonga ukitoka mbagala unapita chamazi msongola...
Kwa matatizo yote ya laptop tembelea www.laptoclinic co.tz
Unaweza kuwasiliana nasi kupitia:
Support Department
44 Ursino South Estate
Uporoto street
Behind Victoria Petrol Station
Dar es...
habari wana MMU
Natafuta mahali ambapo naweza kununua cd empty na za movies + gospel music vilevile na vifaa vya simu km makava chargerz n.k kwa bei ya jumla.km una access yeyote naomba uni PM
Eneo kubwa linauzwa likiwa na nyumba ndani yake. Tulikuwa tunalitumia Kama yadi ya Magadi(lorry). Linauzwa million 450 but kunapungufu kidogo. Piga Simu 0712435316 kwa mazungumzo zaidi.
Habari Wadau,
1.Mwandege Heka 4.5,Bei Sh90mil Kimepimwa na kina Title
2.Mwanambaya Heka 10 Kinafaa kwa Kuanzisha kiwanda na Apartment Sh 60Mils Kimepimwa
3.Vikindu Heka 20 Kimepimwa na kina...
Aina: Hilux Double Cabin
Model LN 107
CC:2779 Diesel
Colour: Silver
Bei Tshs 13M
Manufacturer 1992
Imported 2003
Odometer reading 321,000
Inatembea na ipo kwenye hali nzuri kwa kazi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.