Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza iPhone 3GS ya 16GB, iko kwenye hali nzuri, na ina apps za kutosha. Bei tsh 330,000. Kama uko interested, pm me, or call 0717311420
0 Reactions
3 Replies
1K Views
for living or office, has AC (window type) Price: Tsh 12 Million. CALL: ERIC +255-712-787-939
0 Reactions
0 Replies
868 Views
shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima. Lina ukubwa wa hekari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
........ offer millioni 5 mpaka 5.5 .... namba ianzie B.... kwenda juu... mwaka 2000 kwenda juu... rangi yoyote. serious seller ani P.M.
0 Reactions
4 Replies
944 Views
gari Aina Ya Carina Inauzwa..Bei Maelewano..karibu Uone Gari Na Ujipangie Bei..For More Info And Car Specifications Please Diall or Txt : +255717783919
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza kiwanja Makongo Wapi? Makongop Juu, CCM unakata kulia kilomita 4 tu kutoka Mlimani City Ukubwa? mita 45 kwa 44 Bei? milioni 46 Sifa zingine? . Umeme Mazungumzo yapo kwaaliye serious
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imetumika kidogo sana Ina iOS 5.1.1 Bei 400000 16Gb
0 Reactions
7 Replies
1K Views
JF, Tafadhali mwenye kufaham anisaidie. Bei ya toyota hiace kwa zanzibar mpake kuileta dar ni bei gani. gari ambayo ipo kwene hali nzuri (uhakuka wa kufanya kazi japo miezi 18 bila kulet usumbufu...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Tangaza Marketing Solutions: Ni Kampuni inajishughulisha na Advertising,Marketing & Promotions: Inatoa huduma kwa Wajasiriamali na Wafanyabiashara Wadogo na Wakubwa, Lengo kuu ni kuwasaidia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nisaidieni natafuta vyumba viwili ya kupanga (Chumba na sebule, chumba kikiwa master ni nzuri zaidi) iwe kwenye usalama zaidi mi nasafiri sana. naomba kuwakillisha, msaada wenu tafadhari.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau natafuta nyumba ya kupanga Morogoro maeneo ya Kolla yote mpaka Bigwa,iwe chumba na sebule au vyumba viwili na sebule
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Gari Inauzwa Opah,Ni Mpya Kabisa From Japan,uje Uangalie Gari Na Bei Upange Wewe,For More Info,And Car's Specifications Na Maelekezo Mengine Please Diall : +255717783919
0 Reactions
11 Replies
3K Views
NATAFUTA MTAALAM WA TOSHIBA STUDIO E 3511 CONTACT: bedoko@yahoo.com
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Nauza nyumba ya vyumba 4 iliyo kwenye shamba la ukubwa wa mita 56 kwa 26 Shamba lina minazi, miembe, mfesi, mananasi na mazao mengine. Bei Tsh 35,000,000 na tunaweza pia kuongea kwa aliye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Awande General Enterprise (T) LTD (AGE LTD) Box 23134,Dar es Slaam Email; ageltd@gmail.com Maelezo ya watu wanaotafuta nyumba za kupanga au kununua Nyumba, shamba, kiwanja au gari nk. Jina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Honda capa ya mwaka 2000 rangi yake ni nyeusi imetumika mwaka mmoja ndani ya dar es salaam tu na inauwezo wa kubeba abiria watano na sehemu ya mizigo nyuma..uwezo wake wa kula mfuta ni mdogo sana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi kuna nyumba ya vyumba 4, flemu 6 choo na bafu,ina wapangaji pia umeme full cealing board na imepakwa rangi inauzwa maeneo ya kibaha kwa mathias(msangani) juhudi,eneo hili la juhudi ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
for only 280usd. brand new hardly used, with full box and accessories. working perfectly. pm me.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Used BB 9700 or BB 9300 Inahitajika..Unapewa 120k,with N95 (Original) Hacked,You wont Get Certificate Errors when You download Apps.. njoo Tufanye Biashara Number Yangu Ya Simu Ni 0718-882873,call...
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Ni vitabu viwili, kila kimoja kina page 1300. Kurasa zake zina picha na michoro yenye rangi na ndio sababu sikuona umuhimu wa kuviprint kwenye printer za kawaida. Nahitaji nakala moja kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom