Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,247
- 12,784
Ni vitabu viwili, kila kimoja kina page 1300. Kurasa zake zina picha na michoro yenye rangi na ndio sababu sikuona umuhimu wa kuviprint kwenye printer za kawaida. Nahitaji nakala moja kwa kila kitabu. Wanajamvi itanigharimu shilingi ngapi? Asanteni kwa ufafanuzi.