Medical Dictionary
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,057
- 309
wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza nahitaji laptop mbili mpya za apple,budget yangu ni 1,800,000 kwa zote mbili..nipo arusha
contacts: 0715425054
contacts: 0715425054
Kkwa hela hiyo inaweza isitoshe hata mashine moja..
Mkuu nadhani unahitaji ku-specify zaidi, ni model gani unataka.
na inch ngapi, hebu pitia pale Sound & Vision ukaone kile unachohitaji.
It is way cheaper than Dar.
kwa hela hiyo inaweza isitoshe hata mashine moja..
mkuu pale sound and vision hawana laptop za apple..kuhusu specification kwangu cha muhim iwe apple kwanza then from there we can talk..
Mara ya mwisho kupita hapo ni lini?]
wanazo zote, + iMac. Labda MacPro ndo sijaona hapo, na MacBook Air.
ilikua kama mwez mmoja uliopita..mkuu bei ina-range kwenye ngapi..?
Nazokumbuka ni kama ifuatavyo.
MacBook Pro 13" 2.4GHz Intel Core i5, 4GB, 500GB HDD = 1,415 USD
MacBook Pro 15" 2.2GHz Intel Core i7, 4GB ????GB HDD = 2,099 USD
MacBook Pro 17" 2.4GHz Intel Core i7, 4GB, 1TB HDD = 2,899 USD
iMac 21.5" Intel Core i5, 4GB, 500GB HDD = 1,550 USD
iMac 27" Intel Core i5, 4GB, 1TB HDD = 2,099 USD
As far as I remember, hizi ndo prices zao.
Ni kweli, sound and vision zipo kibao, ila ni za uarabuni. Tofauti na maduka mawili ya hapa dar (elite computers and iStop shop) wao wana genuine mac laptops.
utapata za kichina tena brand new zikiwa na mac lion x, na hutoweza kujua kama si apple yenyewe utadhan ndo yenyewe kabisa.
Ongeza bei kidogo upate moja mpya na moja used kutoka kwa Authorized dealers wa East Afrika.
bei zake unazijua mkuu?..usitake usivoviweza.mkuu hiyo siyo bei halisi..biashara ni maelewano.