Kama sehemu ya ushemeji wetu au biashara peke yetu?
Kama dada yako kauziwa moja yenye specs hizo kwa bei hiyo, basi tambua sio bei yake, kapewa kwa sababu ni wa kike na hapo huna haja kujiuliza muuzaji alikuwa wa jinsia gani.
Careful mwanangu, hali mbaya nje