Ndamwe
JF-Expert Member
- Jun 11, 2008
- 203
- 123
Kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja kinauzwa kipo Kibaha kwa Mathias eneo linaitwa Jamaika. Bwei maelewano. Kipo barabarani, kuna bomba la maji linapita na umeme upo palepale. Kuna michungwa, miembe na mitiki kiasi. kwa mawasiliano 0762354090 au 0787354090