Khabari wanajamii! nina kiwanja changu nakiuza kiwanja kipo maeneo ya tegeta wazo mtaa wa umoja road, kiwanja kina ukubwa wa mita 35 kwa 40 bei yake ni ml 13 miundo mbinu ya umeme, maji, barabara...
Samsumg ch@t 322 niliyoinunu mwez huu naiuza laki na 35. Ina qwerty keypad au unaweza kuigoogle ukaiona picha zake vizur. Sababu ya kuuza ni kutokana na matatizo. Kwa aliyetayari ani-pm nimtumie...
​Nyumba inauzwa ipo Magomeni kanisani. Nyuma ya kanisa mtaa wa Luponda. Nyumba ina eneo zuri kwa biashara ya hotel, nyumba ya wageni (Guest) Makazi binafsi au kupangisha.
Price: TSH...
Quality products for best price
Blackberry mpya 9900 kwa 700,000
Blackberry 9700 kwa 320,000
iphone 4s ya 16gb kwa 850,000
iphone 4ya 16gb kwa 650,000
Samsung Galaxy S3 kwa 900,000
kama...
Jamani naomba mnijuze wapi naweza pata madirisha ya alminium kwa bei nafuu
Madirisha yapo kumi na tatu yana ukubwa wa 5 kwa 6 feet, na 2 kwa3 yapo manne
Wadau mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenye nauza nyumba yangu ambayo iko kwenye stage ya kupauliwa ukubwa wa kiwanja ni 20X34 iko juu mlimani kidogo bei inaanzia 24.5mil
unaweza nipigia 0754432409
Kiwanja kikubwa chenye ukubwa wa sqm 656 kipo buyuni, kimepimwa na kina hati ya miaka 99, pia ada zake zote zimelipiwa. Kimezungukwa na nyumba mpya za shirika la PSPF. Ni kizuri sana kipo jirani...
Residential room wanted(furnished or unfurnished)
vigezo vyangu
umeme wa LUKU
pawe karibu na mjini
maji ya uhakika
Rent will always be paid on time.
kuhusu mimi
friendly
ni mfanyakazi
single...