Khabari wanajamii! nina kiwanja changu nakiuza kiwanja kipo maeneo ya tegeta wazo mtaa wa umoja road, kiwanja kina ukubwa wa mita 35 kwa 40 bei yake ni ml 13 miundo mbinu ya umeme, maji, barabara ipo kiwanja kinatazamana na barabara ya mtaa ni eneo zuri kwa ujenzi wa nyumba ya makazi na fremu za biashara kama ukipenda. kwa anayehitaji please 2wasiliane 0714 107 215, dalali hatakiwi