Wanajamii,
Baada ya kuona wajasilamali wanaongezeka,tuliona ni vyema kutafuata namna ya kuwasaidia wajasiliamali wadogo wapate namna ya kusafirisha bidhaa zao kutokea huku wanapoziagiza mpaka...
New producer in east Africa, Creating amazing, Sophisticated!! Instrumentals/Beats! that is out of this world, comes to you in Dar, He goes by the name FatzBeatz and is currently working with the...
salaam wana jamii,
mimi ni mpasuaji mbao hapa iringa,natafuta wateja wa kununuwa mbao size zote.
bei zangu ni nzuri.
tafadhali tuwasiliane hapa 0653 346 289
asante sana
Habari zenu wakuu,
Mimi nafanya biashara ya vifaa vya ujenzi na nina kampuni ya usambazaji ya bidhaa mbali mbali. Nilikua natafuta watu wa kunisaidia kutafuta soko za rangi za kupaka kwenye...
Hi wana JF wote,
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa...
Naomba kwa anayejua gharama za bandarini (port charges) kwa gari lilioagizwa toka Japan! na pia ni muda gani gari likikaa bandarini bilakuchukuliwa linaanza kuchajiwa storage charges na hizi...
Wakuu nina vocha za sqm 400, na 500 kwa ajiri ya njoo nikuunganishe ukalipie upate kiwanja cha . sehemu ni gezaulole kigamboni bei ni 3.5m . ukiisha lipia utaambiwa kiko sehemu gani na block gani...
Tangaza Marketing Solutions(TMS):
Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions:
Lengo kuu ni kuwasaidia Wajasiriamali na Wafanyabiashara kujua Wateja wao na Wateja kujua huduma...
Tahadhari kwa Wanaouziwa Viwanja Ufukweni Eneo la Kimbiji Eneo la Ufukwe *IMETOLEWA*
tahadhari kwa wale wanaotangaziwa kuuziwa Viwanja vya Ufukweni eneo la Kimbiji. Wanunuzi...