Wanunuzi wa Kuni wanahitajika

ROKY

Senior Member
May 4, 2011
182
70
Hi wana JF wote,

Natafuta wanunuzi kuni za jumla.

Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa 100 toka DSM.
Bei ya kuni ni sh. 150,000 kuni zikizojaa kwenye fuso au canter (tani 3), maongezi pia yapo.

Wana JF nawasilisha.
Pia naomba mnipe contacts za wanunuzi wanaoweza kununua kuni hizo kwa jumla.

Mawasiliano yangu ni:-

Voda 0754-310981
Airtel 0789-310981
Tigo 0658-310981

Thanks in advance.
 
Hi wana JF wote,

Natafuta wanunuzi kuni za jumla.

Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa 100 toka DSM.
Bei ya kuni ni sh. 150,000 kuni zikizojaa kwenye fuso au canter (tani 3), maongezi pia yapo.

Wana JF nawasilisha.
Pia naomba mnipe contacts za wanunuzi wanaoweza kununua kuni hizo kwa jumla.

Mawasiliano yangu ni:-

Voda 0754-310981
Airtel 0789-310981
Tigo 0658-310981

Thanks in advance.

Safi sana, nasikia kuni za huko ni nzuri sana, haziishi haraka wakati wa kupikia kwasababu ni za miti ya asili.
 
Safi sana, nasikia kuni za huko ni nzuri sana, haziishi haraka wakati wa kupikia kwasababu ni za miti ya asili.

Thanks Mu-Israeli,
Watu wote wanaohitaji kuni kwa wing wawasiliane na mimi.
Kuni ni nyingi na nzuri za miti ya asili.
Karibuni wote mpate kuni nzuri sana.

Kuni hizo zinapatikana kutoka miti ya msitu huu hapa.
attachment.php
 
Back
Top Bottom