ROKY
Senior Member
- May 4, 2011
- 182
- 70
Hi wana JF wote,
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa 100 toka DSM.
Bei ya kuni ni sh. 150,000 kuni zikizojaa kwenye fuso au canter (tani 3), maongezi pia yapo.
Wana JF nawasilisha.
Pia naomba mnipe contacts za wanunuzi wanaoweza kununua kuni hizo kwa jumla.
Mawasiliano yangu ni:-
Voda 0754-310981
Airtel 0789-310981
Tigo 0658-310981
Thanks in advance.
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa 100 toka DSM.
Bei ya kuni ni sh. 150,000 kuni zikizojaa kwenye fuso au canter (tani 3), maongezi pia yapo.
Wana JF nawasilisha.
Pia naomba mnipe contacts za wanunuzi wanaoweza kununua kuni hizo kwa jumla.
Mawasiliano yangu ni:-
Voda 0754-310981
Airtel 0789-310981
Tigo 0658-310981
Thanks in advance.