Ishina
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 169
- 57
Hii ni kwa wana JF wote.
Hivi karibuni zimeingia simu nyingi 'fake' za aina ya IPhone 4, 4S, and 5 na watu wengi saana wameumia/kulizwa/kuingizwa mkenge kwa kujua kuwa unanua IPhone ya kutoka kwa marehemu Stive Job, kumbe unauziwa kitu cha kichina, ambacho hakina hata thamani ya TSh. elf50. Watanzania hebu tuwe tunashirikisha akili zetu hata kidogo, wewe simu brand new, ikiwa ndani ya boksi, ki halali kabsa inauzwa sio pungufu ya $850, alafu mtu anakuuzia kwa laki 4 wewe hushituki hata kidogo?! Mtu anakuambia eti nimeiiba kwenye maduka ya Mlimani City na wewe unakubaliana nae?!! Ni ukweli kuiba pale mlimani city, inawezekana lakini sio kirahisi kihivyo, kama hawa wachovu wanaouzia hizo simu, ukizingatia mengi ya maduka pale Mlimani city yanatumia high tech. Security system kulinda mali zao.
Simu hizo IPhone 4, and 4S, 5, HTC, etc zipo nyingi saaana mtaani na watu wanazinunua kama njugu. Mimi jamaa yangu mmoja kauziwa hiyo simu (I Phone 4S) na kwa mara ya kwanza nilipoiona kwa macho na kuishika tu nikagundua kuwa ni kitu fake bila hata ya kuanza kuangalia App. Zake. Mimi nimetumia hizi IPHone (3g, 4 and 4S) kwa zaidi ya mwaka na nusu, nazijua vizuri na sio rahisi mtu kuniibiia kizembe namna hiyo.
Hawa jamaa (wachakachuaji) wamefoji kuanzia simu yenyewe hadi ma-boksi na yanaonekana kama kweli ni ya IPhone au HTC. ILa kwa mtu ambaye anatumia IPhone ni vyepesi saana kuzigundua.
Ushauri wa Bure kwa wanataka kununua iPhone
1. Kama utakutana na watu ambao wanauza hizo simu ni vizuri ukafuta mtu ambaye anazijua hizo simu akusaidie kukwambia kuwa ni fake au genuine (mimi nimesaidia jamaa zangu 2, mmoja alitaka kuuziwa kwa lakin4 mwingine 5), usiingie kichwa kichwa kisa umesikia ni ya deal;
2. Pili kama una computer ambayo ni connected with internet, ichomeke hiyo simu kwenye computer kwa kutumia cable ya charge yake na kama ni genuine itakuletea program ya ITunes kwenye computer yako (au unaweza ku-downloda hiyo program kutoka Apple - iTunes - Everything you need to be entertained. ni free program; kama ni simu fake haiwezi kuwa recognized kwenye huo mtandao; na
3. Simu nyingi za IPhone ambazo ni fake zinakuwa hazina application za ITunes pamoja na App Store, kama hizo Application nilizozitaja hazitaonekana (au hazipo) kwenye simu yako, kuna uwezekana mkubwa kuwa simu yako ni fake. Hizo ni app muhimu sana ambazo zinaifanya simu yako iweze ku connected katika mtandao wa Apple na kuwa recognized na watu wa apple;
Kwa kuanzia naomba nichangie hayo, hopefully wengine watachangia zaidi na kupeana mwanga zaidi kuhusiiana na hii mizigo fake ambayo imeingia hapa mjini ndugu zetu kibao tu wanalizwa, na maagenti na matapeli wengine wengi tu wa hizo fake products wapo hapa hapa JF.
Hivi karibuni zimeingia simu nyingi 'fake' za aina ya IPhone 4, 4S, and 5 na watu wengi saana wameumia/kulizwa/kuingizwa mkenge kwa kujua kuwa unanua IPhone ya kutoka kwa marehemu Stive Job, kumbe unauziwa kitu cha kichina, ambacho hakina hata thamani ya TSh. elf50. Watanzania hebu tuwe tunashirikisha akili zetu hata kidogo, wewe simu brand new, ikiwa ndani ya boksi, ki halali kabsa inauzwa sio pungufu ya $850, alafu mtu anakuuzia kwa laki 4 wewe hushituki hata kidogo?! Mtu anakuambia eti nimeiiba kwenye maduka ya Mlimani City na wewe unakubaliana nae?!! Ni ukweli kuiba pale mlimani city, inawezekana lakini sio kirahisi kihivyo, kama hawa wachovu wanaouzia hizo simu, ukizingatia mengi ya maduka pale Mlimani city yanatumia high tech. Security system kulinda mali zao.
Simu hizo IPhone 4, and 4S, 5, HTC, etc zipo nyingi saaana mtaani na watu wanazinunua kama njugu. Mimi jamaa yangu mmoja kauziwa hiyo simu (I Phone 4S) na kwa mara ya kwanza nilipoiona kwa macho na kuishika tu nikagundua kuwa ni kitu fake bila hata ya kuanza kuangalia App. Zake. Mimi nimetumia hizi IPHone (3g, 4 and 4S) kwa zaidi ya mwaka na nusu, nazijua vizuri na sio rahisi mtu kuniibiia kizembe namna hiyo.
Hawa jamaa (wachakachuaji) wamefoji kuanzia simu yenyewe hadi ma-boksi na yanaonekana kama kweli ni ya IPhone au HTC. ILa kwa mtu ambaye anatumia IPhone ni vyepesi saana kuzigundua.
Ushauri wa Bure kwa wanataka kununua iPhone
1. Kama utakutana na watu ambao wanauza hizo simu ni vizuri ukafuta mtu ambaye anazijua hizo simu akusaidie kukwambia kuwa ni fake au genuine (mimi nimesaidia jamaa zangu 2, mmoja alitaka kuuziwa kwa lakin4 mwingine 5), usiingie kichwa kichwa kisa umesikia ni ya deal;
2. Pili kama una computer ambayo ni connected with internet, ichomeke hiyo simu kwenye computer kwa kutumia cable ya charge yake na kama ni genuine itakuletea program ya ITunes kwenye computer yako (au unaweza ku-downloda hiyo program kutoka Apple - iTunes - Everything you need to be entertained. ni free program; kama ni simu fake haiwezi kuwa recognized kwenye huo mtandao; na
3. Simu nyingi za IPhone ambazo ni fake zinakuwa hazina application za ITunes pamoja na App Store, kama hizo Application nilizozitaja hazitaonekana (au hazipo) kwenye simu yako, kuna uwezekana mkubwa kuwa simu yako ni fake. Hizo ni app muhimu sana ambazo zinaifanya simu yako iweze ku connected katika mtandao wa Apple na kuwa recognized na watu wa apple;
Kwa kuanzia naomba nichangie hayo, hopefully wengine watachangia zaidi na kupeana mwanga zaidi kuhusiiana na hii mizigo fake ambayo imeingia hapa mjini ndugu zetu kibao tu wanalizwa, na maagenti na matapeli wengine wengi tu wa hizo fake products wapo hapa hapa JF.