Viwanja vinauzwa - Arusha

kitalolo

JF-Expert Member
Dec 4, 2006
1,827
708
Viwanja vilivyokwishapimwa,viko sita, unapatiwa na hati sqm 914, 935, 953, 969, 986 na 1643.
Viko moshono zamani olkeriani. Mashariki mwa njiro, bei sh 28,000/= kwa sqm.
Mawasiliano pm au email kitalolo@gmail.com.
 
Viwanja vilivyokwishapimwa,viko sita, unapatiwa na hati sqm 914, 935, 953, 969, 986 na 1643.
Viko moshono zamani olkeriani. Mashariki mwa njiro, bei sh 28,000/= kwa sqm.
Mawasiliano pm au email kitalolo@gmail.com.
Du!!!!!
kuna kipindi mamlaka fulan ilikuwa inauza viwanja kwa shs 850/square M. kweli mkuu kwa sie walala hoi tutaweza miliki kiwanja?, kati ya hivyo cha bei rahis ni zaidi ya mill. 25, mie kwa mwezi natengeneza lak 2.5
mwaka 250,000 X12 = 3,000,000.

mil 25/3,000,000 = 8.5 yrs
hapa natakiwa kipato changu chote nikupe hata Valuuu nisiguse!!

unaumwaa nn!!!!!
 
Du!!!!!
kuna kipindi mamlaka fulan ilikuwa inauza viwanja kwa shs 850/square M. kweli mkuu kwa sie walala hoi tutaweza miliki kiwanja?, kati ya hivyo cha bei rahis ni zaidi ya mill. 25, mie kwa mwezi natengeneza lak 2.5
mwaka 250,000 X12 = 3,000,000.

mil 25/3,000,000 = 8.5 yrs
hapa natakiwa kipato changu chote nikupe hata Valuuu nisiguse!!

unaumwaa nn!!!!!

hii nimei LIKE
 
Viwanja vilivyokwishapimwa,viko sita, unapatiwa na hati sqm 914, 935, 953, 969, 986 na 1643.
Viko moshono zamani olkeriani. Mashariki mwa njiro, bei sh 28,000/= kwa sqm.
Mawasiliano pm au email kitalolo@gmail.com.

Viwanja Vya Arusha vinavipita bei vya DSM?? Imbombo ngafu,sqm ni 28,000/=??????? Duuuuuuuuuu mpigie Riz1 atanunua kwa bei hyo
 
King Kong III land value ya arusha iko juu kutokana na demand kuwa juu among other factors na wengi wa buyers ni watu wenye pesa zao including wafanya biashara wakubwa na wanasiasa
 
Last edited by a moderator:
King Kong III land value ya arusha iko juu kutokana na demand kuwa juu among other factors na wengi wa buyers ni watu wenye pesa zao including wafanya biashara wakubwa na wanasiasa

nisaidie kuwajuza wangejua thamani ya ardhi hapa arusha ikifwatiwa na nyumba za kupanga

n atangazo hili ni kwa watu wenye hela zao
 
Last edited by a moderator:
haya kingine cha ukweli Arusha hichi hapa .

eneo - burka kusini block a
urefu - hatua 50
upana- hatua 21
limepimwa na lina hati.

bei 37m
mazungumzo yapo usiogope

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom